Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

Anapumulia oxygen hospitali baada ya kuachwa

ana dhambi kubwa sana ya kujibu endapo ataenda mbinguni, ila aya mapenzi ni kitu gani? na waimbaji wote kuimba bado tu, nyie kuna watu wana mapenzi ya tamthilia.
 
Kweli Heaven on Earth
Kuna watu wanajua kupenda hasa....Ndio maana wanawake baadae wanakuwa manunda sababu ya kutendwa hivyo..
Wanaume husababisha wenyewe....
Wanaosema hawawezi kujiua hayajawakuta au hawajawahi kupenda...Lililomkuta mwenzio usiombe likukute sababu hujui utalichukuliaje..


Inauma hasa...

Ukiwa na roho nyepesi ndio hivyo utataka kujiondoa duniani.....
 
Me simlaumu jamani. Kuachwa ni shughuli pevu jamani na ille depression unayokuwa nayo + shetani akusimamie mmmh, unahisi bora ujiue tu ukwepe fedhedha yaani unaona hakuna haja tena ya kuishi. Uuuh rejection really hurts
Utashangaa huyo mdada akiamka ataanza kujiuliza what came over me hadi nikataka kujiua. Ni sawa tu na mtu anayekuwa depressed, unafanya uamuzi wa kijinga afu baadaye unaanza kujilaumu.
 
Dada alikutwa chumbani kwake usiku wa kuamkia juzi akiwa amejidima kipande cha chupa ubavuni baada ya aliyekuwa mpenzi wake kumwambia yeye ni mchepuko.

Jamaa kumbe alikuwa na mke na watoto, wanaume kuweni wa kweli basi.

Mkuu na mm napumulia oksijen, nipo hapa ferry ktk panton!
 
Kweli Heaven on Earth
Kuna watu wanajua kupenda hasa....Ndio maana wanawake baadae wanakuwa manunda sababu ya kutendwa hivyo..
Wanaume husababisha wenyewe....
Wanaosema hawawezi kujiua hayajawakuta au hawajawahi kupenda...Lililomkuta mwenzio usiombe likukute sababu hujui utalichukuliaje..

Sijiui na yamenikuta.....ndo nazidi kuwa nunda.
 
Kuachwa ndo nife??......wakati kuna watu wananihitaji,roho ya subira ndo nguzo yangu.


Nimekupenda miss strong
Hapa ndio sehemu wanawake na wanaume wenzangu hunipa wkt mgumu: mbn kuna magumu mengi km wanadamu huwa tunapitia na bado tunasimama, tunasonga mbele!
Kwa nini hili la mapenzi ndio liwe la kukutoa roho! Kwa haya hp chini sio magumu! Haya hayaumizi?
1. Kufeli masomo
2. Kuugua ama kuuguliwa
3. Kufiwa na mzazi
4. Ajali
5. Kusalitiwa na rfk ama ndg mlieshibana
6. Kufukuzwa kazi
7. Kudhulumiwa mali
8. Kufilisika ktk biashara
9. Kutapeliwa
10. Kukwamishwa ktk namna yyt ile isipokuwa mapenzi!
Naomba mnieleweshe, kwa nini kuna visa vingi vya watu kufanya "suicide attempts" sababu ikiwa MAPENZI kuliko hayo hapo juu!
Kwa nini tumekuwa wepesi kuzikabili changamoto Na. 1-10 kwa njia bora, lkn si MAPENZI!
 
Last edited by a moderator:
Huyo hajaachwa bali kasuswa...

Nani alimwambia agawe mbunye hovyo kabla ya kuolewa??

nani avumilie hadi ndoa??

ule utamu sio mchezo, ikifikia hapo hata akili ya kuwaza mengine inapotea
 
Nimekupenda miss strong
Hapa ndio sehemu wanawake na wanaume wenzangu hunipa wkt mgumu: mbn kuna magumu mengi km wanadamu huwa tunapitia na bado tunasimama, tunasonga mbele!
Kwa nini hili la mapenzi ndio liwe la kukutoa roho! Kwa haya hp chini sio magumu! Haya hayaumizi?
1. Kufeli masomo
2. Kuugua ama kuuguliwa
3. Kufiwa na mzazi
4. Ajali
5. Kusalitiwa na rfk ama ndg mlieshibana
6. Kufukuzwa kazi
7. Kudhulumiwa mali
8. Kufilisika ktk biashara
9. Kutapeliwa
10. Kukwamishwa ktk namna yyt ile isipokuwa mapenzi!
Naomba mnieleweshe, kwa nini kuna visa vingi vya watu kufanya "suicide attempts" sababu ikiwa MAPENZI kuliko hayo hapo juu!
Kwa nini tumekuwa wepesi kuzikabili changamoto Na. 1-10 kwa njia bora, lkn si MAPENZI!

Hilo ni tatizo.....me nilitofautiana na mpenz wangu mwezi wa 12mwaka jana,Sio kama ilikuwa ugomv kivile but wivu tu katika mahusiano na vitu kama hvyo.

Lakini tukarekebisha na mambo yakaendelea...ilipofika mwaka huu mwezi wa 4 tukakwaruzana tena kwa kosa linalofanania na lile.Hapo nikaonesha msimamo its over though nampenda.

Akajaribu kunipliz nikarudisha moyo kiasi fulan lakin bado nilikuwa nafundo na mawasiliano yakafifia.

Huwezi amin jana nimeingia insta page yake nimekuta picha amefunga ndoa tar 27/9 mwaka huu.

Ikumbukwe katika mikwaruzano yetu sijawahi kuhisi wala yy kunionesha kuwa ana mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
kuna binadamu wanajichukia yani uniache nijiumize ndiyo kwanza party inaanza... nafungua ukurasa mpya naendelea kuandika historia ya maisha yangu...... just a man????? a man????????? oooh hapana kwa kweli not me
 
Tatizo sio miboo ila watu wanafikiria mengi muda,mazoea na kuanza upya mahusiano na mtu mwingine yaan kazi.

Umefika 100 then u turn to zero....kaz hapo
sometimes we need to start again in order to fly... usiogope kuanza ogopa sana kushindwa (kukata tamaa) unakuwa huna tofauti na mfu........
 
Back
Top Bottom