Anaomba ushauri

Mnyalu wa Kweli

JF-Expert Member
Oct 7, 2010
233
55
Wana-jamvi mshakaji wangu wa tokea form one hadi university level analalamika kuwa ndoa yake kwa sasa ipo hatarini kuparaganyika baada ya yeye mwenyewe ( mshikaji huyo) kususia tendo la ndoa kutokana na kutofurahishwa na hali ya mkewe wakati wa ndoa. Kwa mujibu wa maelezo yake ikiwa atamua kwenda na mkewe katika style ya : 'Mbuzi Kagoma' basi yeye( jamaa) husikia harufu ya ***tope*** kiasi cha kumtoa hamu ya kuendelea na tendo( nadhani hapo mmenielewa namaanisha nini). Na hata kama wakitumia style ya kawaida( Man on top) huambulia harufu asiyoipenda toka sehemu za siri za mke wake. Wakati mwingine ( hata kama si wakati wa tendo la ndoa) rafiki yangu huyu anadai husikia harufu kama ya beberu toka kwa mkewe, harufu ambayo anasema inamkera. Kuna kipindi anasema alimgombeza sana mke wake kwa kumhisi kuwa huenda huwa anatembea na wanaume nje ya ndoa kinyume na maumbile ndio maana hata akioga au akinawa bado harufu ya ****tope****inasikika wakati wa tendo la ndoa.

Huyu rafiki yangu tumsaidieje au uzi huu wataalam wa afya ndio wanaweza kuutolea ushauri?
 
Wana-jamvi mshakaji wangu wa tokea form one hadi university level analalamika kuwa ndoa yake kwa sasa ipo hatarini kuparaganyika baada ya yeye mwenyewe ( mshikaji huyo) kususia tendo la ndoa kutokana na kutofurahishwa na hali ya mkewe wakati wa ndoa. Kwa mujibu wa maelezo yake ikiwa atamua kwenda na mkewe katika style ya : 'Mbuzi Kagoma' basi yeye( jamaa) husikia harufu ya ***tope*** kiasi cha kumtoa hamu ya kuendelea na tendo( nadhani hapo mmenielewa namaanisha nini). Na hata kama wakitumia style ya kawaida( Man on top) huambulia harufu asiyoipenda toka sehemu za siri za mke wake. Wakati mwingine ( hata kama si wakati wa tendo la ndoa) rafiki yangu huyu anadai husikia harufu kama ya beberu toka kwa mkewe, harufu ambayo anasema inamkera. Kuna kipindi anasema alimgombeza sana mke wake kwa kumhisi kuwa huenda huwa anatembea na wanaume nje ya ndoa kinyume na maumbile ndio maana hata akioga au akinawa bado harufu ya ****tope****inasikika wakati wa tendo la ndoa.

Huyu rafiki yangu tumsaidieje au uzi huu wataalam wa afya ndio wanaweza kuutolea ushauri?

dah! khaa! duh!
 
Ajitahidi kumfanyisha mkewe mazoezi hasa jogging na akubali tu kuvumilia hiyo harufu ya mkewe wakati wa jogging kwa sababu mwili ndio utakuwa unarudi katika hali ya kawaida na wakimaliza jogging mkewe aoge na kujisafisha vizuri,baada ya hapo nina uhakika ndani ya wiki mbili ataanza kuona mabadiliko kama sio kuisha kabisa kwa tatizo hilo.Na hiyo iwe ratiba kama mara tatu kwa wiki baada ya zile wiki mbili za kwanza.
 
Amwambie ukweli sio kumgombeza! ikibidi aende akapate ushauri kwa Dr,Mweeee! hii nayo kali!
 
Wana-jamvi mshakaji wangu wa tokea form one hadi university level analalamika kuwa ndoa yake kwa sasa ipo hatarini kuparaganyika baada ya yeye mwenyewe ( mshikaji huyo) kususia tendo la ndoa kutokana na kutofurahishwa na hali ya mkewe wakati wa ndoa. Kwa mujibu wa maelezo yake ikiwa atamua kwenda na mkewe katika style ya : 'Mbuzi Kagoma' basi yeye( jamaa) husikia harufu ya ***tope*** kiasi cha kumtoa hamu ya kuendelea na tendo( nadhani hapo mmenielewa namaanisha nini). Na hata kama wakitumia style ya kawaida( Man on top) huambulia harufu asiyoipenda toka sehemu za siri za mke wake. Wakati mwingine ( hata kama si wakati wa tendo la ndoa) rafiki yangu huyu anadai husikia harufu kama ya beberu toka kwa mkewe, harufu ambayo anasema inamkera. Kuna kipindi anasema alimgombeza sana mke wake kwa kumhisi kuwa huenda huwa anatembea na wanaume nje ya ndoa kinyume na maumbile ndio maana hata akioga au akinawa bado harufu ya ****tope****inasikika wakati wa tendo la ndoa.

Huyu rafiki yangu tumsaidieje au uzi huu wataalam wa afya ndio wanaweza kuutolea ushauri?

Ok,kama ni rafiki yako kakuamini mpaka kakupa siri ya ndani kwake tena kitandani ili umshauri wewe Kiongozi Tuambie Umemshauri kitu gani kwanza? au umemwambia "ok best pole sana nimekuelewa acha niwapelekee wengine watusaidie nitakupa jibu"
 
wana-jamvi mshakaji wangu wa tokea form one hadi university level analalamika kuwa ndoa yake kwa sasa ipo hatarini kuparaganyika baada ya yeye mwenyewe ( mshikaji huyo) kususia tendo la ndoa kutokana na kutofurahishwa na hali ya mkewe wakati wa ndoa. Kwa mujibu wa maelezo yake ikiwa atamua kwenda na mkewe katika style ya : 'mbuzi kagoma' basi yeye( jamaa) husikia harufu ya ***tope*** kiasi cha kumtoa hamu ya kuendelea na tendo( nadhani hapo mmenielewa namaanisha nini). Na hata kama wakitumia style ya kawaida( man on top) huambulia harufu asiyoipenda toka sehemu za siri za mke wake. Wakati mwingine ( hata kama si wakati wa tendo la ndoa) rafiki yangu huyu anadai husikia harufu kama ya beberu toka kwa mkewe, harufu ambayo anasema inamkera. Kuna kipindi anasema alimgombeza sana mke wake kwa kumhisi kuwa huenda huwa anatembea na wanaume nje ya ndoa kinyume na maumbile ndio maana hata akioga au akinawa bado harufu ya ****tope****inasikika wakati wa tendo la ndoa.

Huyu rafiki yangu tumsaidieje au uzi huu wataalam wa afya ndio wanaweza kuutolea ushauri?


rafiki yako hawezi kukueleza hayo yote.
Ni wewe mwenyewe umemu-expose mke wako.
 
ivi kuna wanaume wa hivi hata aibu za chumbani wanaweka hadharani haya muambie amshauri mkewe suala la usafi ikishindikana ampeleke akamuone GYNO labda ana ugonjwa unaomfanya anuke
 
Ladies & gentlemen, when you read something sensitive like this in this social network it should ring in your mind that the guy has kept it as top secret for quite some time and now it has become unbearable. By bringing this matter here one should not think we are either dehumiliating the woman in question or we are exposing some sensitive marital issues for no concrete reason.Comrades,the major objective here is to save this marriage from the brink of collapse. Thanx, for those who have offered alternative solutions. As far as I am concerned, I asked him to tell his wife to exercise maximum body hygiene everytime but said it doesn't work.




If you start losing the fear of death life begins
 
Inawezekana pia huyo jamaa/rafiki yako ana matatizo ya 'kisaikolojia'....ni jambo ambalo haliingii akilini kuwa mwanamke huyo huyo akipindwa mbuzi kagoma ananuka 'kinyesi', akiwekwa missionary anatoa harufu mbaya kwenye nyeti, akiwekwa style zingine anatoa harufu ya beberu! Harufu ya maambukizo kwenye njia ya uzazi au magonjwa ya zinaa ni ile ile..haiwezi badilika kwa style tofauti. Anahitaji msaada wa kitaalamu kama ataweza kuwa muwazi tatizo ni nini!
 
  1. yaonekana ni mkeo huyu, na wakati mnaanza uchumba hiyo harufu ya beberu haikuwepo uione leo au vya wengine vimekuzuzua mjomba.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom