Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Ebohh!!! Hivi hiki unachotuuliza ni kitu cha kuwauliza watu wazima?
Wewe ushaona ni kitu hutaki kufanya na sio sahihi, huo ushauri unaoutafuta ni upi?
Kweli viazi si lazima vilimwe shambani, kuna vingine vinazaliwa...
Ahahah umenikumbusha karanga zinazoota juu ya mti!
Hayo ndo matatz mwanamke akikuanza mzinz oh anapepo, ananitegeshea mtajijuuu.
Hebu nianze mimi tuone kama nitakataa!