Ananilazimisha tufanye mapenzi na mimi sitaki

Ananilazimisha tufanye mapenzi na mimi sitaki

Ama Kweli Kwenye Miti Hapana Wajenzi! Kwann! Hilo Zali La Mentali Lisingeniangukia Mm??? MKAZE Mpaka Akawasimulie Wenzie! Fara Wewe!
 
Hayo ndo matatz mwanamke akikuanza mzinz oh anapepo, ananitegeshea mtajijuuu.

Hivi hujaona kaandika kuwa na undugu na huyo mwanamke?

Uwe unasoma vizuri kabla ya ku-comment
 
Huyu anataka kusaidiwa msalaba wake wa dhambi, akienda kwa Mwenye mbingu akaseme ''walinishauri wana jamii forum''
 
Nipe namba ya simu ya huyo dada ili nimpe ushauri wa kisaikolojia, mimi ni mtaalamu wa saikolojia ya mahusiano. Sitakutaja jina kuwa ndiyo wewe umenipa ila nitamwambia nimeoteshwa na kupewa namba toka usingizini nakuomba uje ofisini kwangu nikupe ushauri. Mkuu tafadhari ni PM usiweke wazi namba yake maana watamsumbua sana watu
 
inawezekana uwezo huna wa kufanya hivyo ndio maana unaomba ushauri
 
Piga mzigo tu kama ametaka ata usivunge mana inaelekea na demu huna wewe.
 
Ebohh!!! Hivi hiki unachotuuliza ni kitu cha kuwauliza watu wazima?

Wewe ushaona ni kitu hutaki kufanya na sio sahihi, huo ushauri unaoutafuta ni upi?

Kweli viazi si lazima vilimwe shambani, kuna vingine vinazaliwa...

anachokisema hakimaanishi, anataka tuchukue dhambi ya kumshawishi wakati ashatamani. soma vizuri anapomsifia mdada huyo
 
Ushasema uzinzi ni dhambi ,sasa unataka tukushauri nini hapo usichokijua?
 
Wanaume bhana! kutwa nzima wanashinda wanatongoza,lakini kwenye mitandao wakija wanasema wao ndo wanalazimishwa mapenzi.Haya endelea kukataa!
 
Back
Top Bottom