Mb-one
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 884
- 1,296
Habari wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume, kuna haya maswahibu yamenikuta naelewa huwa yanawakuta wengi, kuna mdada tuna undugu wa mbali kidogo ni mzuri na ameumbika.
Amekuwa akinilazimisha kimapenzi hadi naingia na woga, kwa mara ya kwanza nilikataa, baada ya miezi tena amekuwa akilikumbushia hlo swala.
Najiuliza ana pepo huyu au kuna kitu ananitegeshea, nakuwa mgumu kuelewa nikiomba ushauri kwa watu wa karibu wananishauri nifanye naye mapenzi.
This is not a fake story, it is true
Hebu nishaurini
NB; Uzinzi dhambi lakini
Mimi ni kijana wa kiume, kuna haya maswahibu yamenikuta naelewa huwa yanawakuta wengi, kuna mdada tuna undugu wa mbali kidogo ni mzuri na ameumbika.
Amekuwa akinilazimisha kimapenzi hadi naingia na woga, kwa mara ya kwanza nilikataa, baada ya miezi tena amekuwa akilikumbushia hlo swala.
Najiuliza ana pepo huyu au kuna kitu ananitegeshea, nakuwa mgumu kuelewa nikiomba ushauri kwa watu wa karibu wananishauri nifanye naye mapenzi.
This is not a fake story, it is true
Hebu nishaurini
NB; Uzinzi dhambi lakini