Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa

Muombe sana Mungu wako akuepushe na hicho kikombe. Hao ni waswahili kupita maelezo.

Watajazana kwako bila aibu, hata baba mkwe hatokubali tena kukaa Sikonge wakati binti yake ana vyumba viwili
 
Hahaha Mchungaji mwenza, pamoja na exaggeration kidogo lkn kuna % kubwa ya ukweli. LOL

Mambo ya wangoni si haba pia!

Uvivu ulioambatana na madaha kwa wadada; kwa wakaka ni taratibu bila papara kiasi kwamba anaweza kukupelekesha hadi 45mns bila mijasho kabla hajaunganisha cha 2, 3 na kuendelea.

Kazi za nje niwekee maid lkn mchumba hautahitaji nyumba ndogo labda kama unataka ukamwage povu tu kule! LOL

ahahahahahhahahahhahhhahahha
naachaje kukupenda sasa!UUWIH
hii misifaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!kuna watu wanajimegea mipwenti hapa lol!
 
kuuuuuuuumbe!
santeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Mwalimu snowhite mzima wewe?Umepotea lakini japo shule zilikuwa zimefungwa...........hebu comment basi usiishie kuguna tu.......karibu mwaya unaona watu walivyo tusasambua humu lazima tujitetee,wao hawajui kwamba tabia ni ya mtu na wala sio kabila
 
Hahaha Mchungaji mwenza, pamoja na exaggeration kidogo lkn kuna % kubwa ya ukweli. LOL

Mambo ya wangoni si haba pia!
mi nawaona tu mnavojifyagilia hapa na kaka zako kina KIKUNGU Sikonge ,sijaona muumini wetu alipochangia nataka nione kajimegea mwenti gani!alivo yule utakuta kaishia kuguna tuu mmmmmmmnh!ahahhahahah The Boss bana!
 
Last edited by a moderator:
Uvivu ulioambatana na madaha kwa wadada; kwa wakaka ni taratibu bila papara kiasi kwamba anaweza kukupelekesha hadi 45mns bila mijasho kabla hajaunganisha cha 2, 3 na kuendelea.

Kazi za nje niwekee maid lkn mchumba hautahitaji nyumba ndogo labda kama unataka ukamwage povu tu kule! LOL

ahahahahahhahahahhahhhahahha
naachaje kukupenda sasa!UUWIH
hii misifaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!kuna watu wanajimegea mipwenti hapa lol!

Dada Kaunga unaona mtani wetu mwalimu/kungwi wako snowhite anavyochekelea hapo........ha ha ha ha
 
Mwalimu snowhite mzima wewe?Umepotea lakini japo shule zilikuwa zimefungwa...........hebu comment basi usiishie kuguna tu.......karibu mwaya unaona watu walivyo tusasambua humu lazima tujitetee,wao hawajui kwamba tabia ni ya mtu na wala sio kabila
nipo mtani wangu!miundombinu tu ndo shida so siwi humu siku hizi kama zamani ila nipo!
watu wanawaone gani wakati mnajioshea wenyewe hapa kama hamna akili nzuri!lol!
 
Muombe sana Mungu wako akuepushe na hicho kikombe. Hao ni waswahili kupita maelezo.

Watajazana kwako bila aibu, hata baba mkwe hatokubali tena kukaa Sikonge wakati binti yake ana vyumba viwili

Bumpkin Billionare kama hayo unayosema ni through your experience basi hao walikuwa wanyamwezi fake........afterall tabia ni ya mtu/watu na sio kabila
 
Bibi
yangu aliwahi kuniambia "ukitaka kuona dunia hii ni chungu OA mnyamwezi" kwa BAHATI mbaya sikuwahi kujua kwanini alisema hivyo ..Kama unampenda muoe kaka maana kila jamii Ina mapungufu yake
 
Last edited by a moderator:
Bibi
yangu aliwahi kuniambia "ukitaka kuona dunia hii ni chungu OA mnyamwezi" kwa BAHATI mbaya sikuwahi kujua kwanini alisema hivyo ..Kama unampenda muoe kaka maana kila jamii Ina mapungufu yake

I think l can guess why, 'alijua jinsi ulivyo dhaifu basi utafia kufuani kwa Kalunde'. LOL
 
Last edited by a moderator:
nipo mtani wangu!miundombinu tu ndo shida so siwi humu siku hizi kama zamani ila nipo!
watu wanawaone gani wakati mnajioshea wenyewe hapa kama hamna akili nzuri!lol!

We are turning all the negative things they say about us into positive mf:-
Mzigo mzito mpe Mnyamwezi into mzigo mzito anao mnya..
Mabingwa wa limbwata into mabingwa wa mapenzi
Wanapaa angani into tunapaa kileleni
Wavivu into being sensentional n romantic

Huoni ni kujibu mashambulizi huko? LOL
 
We are turning all the negative things they say about us into positive mf:-
Mzigo mzito mpe Mnyamwezi into mzigo mzito anao mnya..
Mabingwa wa limbwata into mabingwa wa mapenzi
Wanapaa angani into tunapaa kileleni
Wavivu into being sensentional n romantic

Huoni ni kujibu mashambulizi huko? LOL
bora mwaya manake mmeshaonewa sana!
ngoja na mi niwaite kaka na dada zangu kina Kipipi, @fp, moto2012, Mzee tupatupa tusafishe pande zetu!
manake badala ya kutusifia wao wanapaka za oh nyie ni WAGONI WA KUZINI!lol!
hatukubali! na sisi ngoja tuanze kujitetea bana!
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh, that is a way to go this is 2013 bwana!
Wakisema wangoni malaya, unajibu 'tunatamanisha'! LOL
bora mwaya manake mmeshaonewa sana!
ngoja na mi niwaite kaka na dada zangu kina Kipipi, @fp, moto2012, Mzee tupatupa tusafishe pande zetu!
manake badala ya kutusifia wao wanapaka za oh nyie ni WAGONI WA KUZINI!lol!
hatukubali! na sisi ngoja tuanze kujitetea bana!
 
Last edited by a moderator:
Wanyamwezi ni wavivu kufanya kazi,wepesi kuridhika na hali yoyote ya maisha,wepesi kudanganywa/kuibwa,wanayajua mapenzi kitandani na hata nje ya kitanda,wajuzi wa kutunza familia,wanapenda majungu na kusengenyana,hawapendi kuacha asili yao kirahisi hasa tiba za kienyeji,maendeleo hayana kipaumbele sana kwao n.k (nikizikumbuka nyingine nitakwambia)
 
Umeona eeh, that is a way to go this is 2013 bwana!
Wakisema wangoni malaya, unajibu 'tunatamanisha'! LOL
eehehhehehehhehehehhehe wakisema wangoni sijui nini siye tunasema TUNA MVUTO NA HAMUWEZI KURESIST OUR KARMA!weeeweweeeeee watu people ole wake mtu atuguse
cc kwa platozoom et al
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkuu
My Grand mother alikuwa ana originate huko; she told me "usioe mnyamwezi kwani wao ukimtongoza tu lazima akapime xray; kuthibitisha kama kweli anapendwa" for sure ni watu wacheshi sana ila wana amini sana mambo ya kwa babu.But mkuu kwa jinsi tulivyo changanyikana wa Danganyika. Mpime kwa vigezo vyako kisha amua wewe na yeye.
 
Back
Top Bottom