Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Basi mmeo atakuwa Mgogo maana hueleweki! Uli nsukuma wa kuhe?
Sijaolewa hata nkiolewa hawezi kuwa mgogo!!!!!!
nale nsukuma nene....
Basi mmeo atakuwa Mgogo maana hueleweki! Uli nsukuma wa kuhe?
Umenogewa na wanyamwezi eeh?
Just changamsha genge mwaya, wewe huoni tulishambuliwa vya kutosha, so ilikuwa lazima tuwarushe roho watu kidogo! Mambo lakini?
Kumbe mzabzab wewe ni mnyamwezi!! ndiyo maana unapenda kugegeda, hiyo ndiyo tabia yenu kuuuuubwa wanyamwezi , mnapenda sana kugegeda na mizigo miziti. Hahahaahaha!!!ah wacha kutukandia bana
Kumbe mzabzab wewe ni mnyamwezi!! ndiyo maana unapenda kugegeda, hiyo ndiyo tabia yenu kuuuuubwa wanyamwezi , mnapenda sana kugegeda na mizigo miziti. Hahahaahaha!!!
acha hizo wengine hata ndumba hatuzijui....alahKwa ndumba ndo wenyewe!!!!!!!
acha hizo wengine hata ndumba hatuzijui....alah
Kileleni, yes tunapenda kupaa! LOL
Kumbe na ww ni mnyamwezi? wa Sikonge au wa Mpanda?
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa
Hawatulii na mwanamume mmoja ni wanawake wa mafiga matatu, kwa limbwata ndo wenyewe na pia kama limbwata halikamatiki kwako basi wanakudedisha.Lakini tofauti na hayo Wanyamwezi ni miongoni mwa makabila yanayojua mapenzi hapa Tanzania, mimi nashangaa watu wanasifia eti Tanga kwangu mimi mwanamke wa Kinyamwezi ni nambari one kwa mapenzi sema sasa issue ni hayo matatizo yake ya hapo juu maana mwanamume hakohoi kwa mke wa Kinyamwezi
Hamna ndumba bana, weee vipi?
Hujasikia wimbo wa Kinyamwezi kwenye maharusi yetu maana huwa tunaimba ".....nalitumila ndumba ya kumlomo....."
Kaunga dada yangu atakuwa shahidi kuwa maana yake ni "....ninatumia ndumba ya mdomoni......"
Wanyamwezi tuna maneno matamu na nyororo................ "..... hihihiiiii, ndiyo Padili....."
Kileleni, yes tunapenda kupaa! LOL
hahaha, kwa hiyo utabadilisha kauli ya 'kupaa'?
Mnya Sikonge mimi.
Naskia watu husema
Mzigo mzito nimpe mnyamwezi, ni kweli?
Hebu nitafutie kaka yako mnyamwezi mmoja tu kwa majaribio
nina mahusiano na mwanamke wa kinyamwezi
ninaomba mwenye uelewa anipe tabia zao wakoje kabla sijaingia kwenye kitanzi cha ndoa