Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Anaewajua wanyamwezi anisaidie

Haki ya nani wanyamwezi wanawake ni habari nyingine!!!! Mafiga matatu na zaidi ni lazima hasa kama perfomance yako ni poor utaona kila rangi!!! Limbata lao (jina limenitoka) ni balaa sana!! Akikuwekea hili utahama kwenu na utahamia kwao na utajenga huko huko nikimaanisha wanakupa na shamba kabisa!! Chezea weye!!
 
Wee Mnya Kikungu, kwanza heri ya Mwaka Mpya. Sijui umepotelea wapi maana sijakuona kitambo.

Huo Msemo ulikuwa karne ya 21 Mami, eti Mzigo mzito mpe Mnyamwezi.

Karne ya 21 Wanyamwezi tumebadilika na kusema "Mzigo Mzito anao Mnyamwezi" au sivyo Sister Kaunga ?

Smile dada, Wasukuma wakicheza Ngoma, mwisho wanawakimbiza akina dada na kuwaambia "Chagulaga mwana Mayu" ikiwa na maana "Chagua dada". Sasa Makaka wa Kinyamwezi ndiyo tumeshajaa kibao, kazi kwako na CHAGULAGA.
Ilumbuye Kaunga wape vidonge vyao...............wakaka tunamizigo ya mbele.............wadada wameibeba chini ya mgongo sasa wachague wenyewe..............kuna msemo unasema ....mzigo mzito mpe mnyamwezi
 
Last edited by a moderator:
Msitusingizie bwana! Tena mtuache tupumue.

Hey Mdogo wangu, kwanini mnajificha yaani mimi nilijua wadada wa kinyamwezi wavivu wa kuingia JF.
Unajua nini, kwakuwa tunajua kuwashika wanapotaka kushikwa ndio maana watu wengine (hasa wadada) wanaona si bure ni limbwata.
I wish ningekuwa naijua hiyo limbwata ninngempa mdada mmoja halafu nimruhusu boy wangu aende kwake na akinogewa ruksa kuhamia.
 
Mambo ya Mafiga Matatu (Mabwana watatu) ni mambo ya Pwani hasa Wazaramo, Wamakonde na ndugu zao.

Dada zangu wa Kinyamwezi hawana upuuzi huo. Angalia maneno unayoandika hapa JF maana ninaweza kukutokea huko kwako usiku kwa mwendo ya Gangnam Style...


Haki ya nani wanyamwezi wanawake ni habari nyingine!!!! Mafiga matatu na zaidi ni lazima hasa kama perfomance yako ni poor utaona kila rangi!!! Limbata lao (jina limenitoka) ni balaa sana!! Akikuwekea hili utahama kwenu na utahamia kwao na utajenga huko huko nikimaanisha wanakupa na shamba kabisa!! Chezea weye!!
 
Last edited by a moderator:
Muelezee, amepotea kiasi kwamba anakuja na misemo ya 19th century.
Mizigo ya ukwee tunayo Wanyamwezi.
Wee Mnya Kikungu, kwanza heri ya Mwaka Mpya. Sijui umepotelea wapi maana sijakuona kitambo.

Huo Msemo ulikuwa karne ya 21 Mami, eti Mzigo mzito mpe Mnyamwezi.

Karne ya 21 Wanyamwezi tumebadilika na kusema "Mzigo Mzito anao Mnyamwezi" au sivyo Sister Kaunga ?

Smile dada, Wasukuma wakicheza Ngoma, mwisho wanawakimbiza akina dada na kuwaambia "Chagulaga mwana Mayu" ikiwa na maana "Chagua dada". Sasa Makaka wa Kinyamwezi ndiyo tumeshajaa kibao, kazi kwako na CHAGULAGA.
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya Mafiga Matatu (Mabwana watatu) ni mambo ya Pwani hasa Wazaramo, Wamakonde na ndugu zao.

Dada zangu wa Kinyamwezi hawana upuuzi huo. Angalia maneno unayoandika hapa JF maana ninaweza kukutokea huko kwako usiku kwa mwendo ya Gangnam Style...



Ha ha ha!! Sikonge nimekupata mkuu wangu!! Ila pengine tunaongea kwa uzoefu aise!! Ila bwana sifa yao nzuri wanajua kuchapa mwendo sana!!! Yaani makabila nawapa salute ni pamoja na hawa dada zako, na mikoa ya kusini!! Tanga niseme ukilinganisha na hawa hawaoni ndani!!
 
Last edited by a moderator:
Kaunga , umenikumbusha mbali sana hahahahaa......

Kwenye harusi utasikia ile ngoma ya Unyago akina mama/dada wanacheza.

Kiuno kinachoshushwa hapo, Wana Loketo na Urlus Mabele wake hawaoni ndani.

Hapo wanakuimbia ule wimbo ambao unakupiga Mkwara Mwanaume eti ".... Unyago ni Mzuri nje ila ndani kuna kazi" yaani kwa Kinyamwezi "Lunyago lusoga hibala, kasina mnyumba mwina milimo....." Huwa nataka kujua hiyo kazi iliyopo ndani ikoje? Sasa kumbe mki-Apply KALUFUNDI kwenye Miili ya hawa Madhaifu, wanakuja kusema dada zangu mnatumia Limbwata.

NYIE WACHAGA MSILALE kama Magogo bana............ Heheheheee Scud za Wachaga hizoooo, ngoja nisepe 🙂
Hey Mdogo wangu, kwanini mnajificha yaani mimi nilijua wadada wa kinyamwezi wavivu wa kuingia JF.
Unajua nini, kwakuwa tunajua kuwashika wanapotaka kushikwa ndio maana watu wengine (hasa wadada) wanaona si bure ni limbwata.
I wish ningekuwa naijua hiyo limbwata ninngempa mdada mmoja halafu nimruhusu boy wangu aende kwake na akinogewa ruksa kuhamia.
 
Last edited by a moderator:
Piga magoti umuombe Mungu akuepushe na hilo balaa. Hao ndio Wazaramo wa Bara.

Kwa uswahili (tabia za masengenyo, ushirikina na uvivu) Mnyamwezi ni namba moja huko Bara akifuatiwa na watani zangu Waha.

Jiandae kumlea baba mkwe. Kwa anayewajua Wanyamwezi atakubaliana na mimi kuwa ni watu wasiojua vibaya. Hata kama mna chumba kimoja, basi baba mkwe haoni shida kushea na nyinyi, unless awe amepata elimu dunia kidogo japo haimbadilishi sana.

Mashemeji zako ambao hata ni wakubwa kwa mkeo watatinga kufunga kambi kwako endapo utathubutu kujionesha ni bingwa wa kuwapa milo mitatu kwa siku, na hiyo haijalishi kuna vyumba vingapi. Wao hulala hata wa4 kitanda kimoja kama watoto.

Kwetu sisi ni matusi kulala kwenye nyumba ambayo binti yako anakamuliwa kipele lkn kwa hawa watu, nimevua kofia. Baba anaishi alikoolewa binti yake mwaka wa 5 sasa, hadi amekuwa sehemu ya familia.
 
My Grand mother alikuwa ana originate huko; she told me "usioe mnyamwezi kwani wao ukimtongoza tu lazima akapime xray; kuthibitisha kama kweli anapendwa" for sure ni watu wacheshi sana ila wana amini sana mambo ya kwa babu.But mkuu kwa jinsi tulivyo changanyikana wa Danganyika. Mpime kwa vigezo vyako kisha amua wewe na yeye.
 
Wamanyema je? Wanasumbua sana mujini hapa? Chezeya wamanyema nyie? Nipeni sifa zao kidogo!
 
Hey Mdogo wangu, kwanini mnajificha yaani mimi nilijua wadada wa kinyamwezi wavivu wa kuingia JF.
Unajua nini, kwakuwa tunajua kuwashika wanapotaka kushikwa ndio maana watu wengine (hasa wadada) wanaona si bure ni limbwata.
I wish ningekuwa naijua hiyo limbwata ninngempa mdada mmoja halafu nimruhusu boy wangu aende kwake na akinogewa ruksa kuhamia.

Ulijuaje dada hapo kwenye blue? Tunatangazwa wachawi kwa vile tu ni full mautundu!!!!
Hapo kwenye red nina hakika hilo haliwezekani. Aanze tu kujikuta ananogewa! THUBUTUUUU!!!!
Tuko kamili kila idara, phenotype mpaka kauli. Hatupori sisi,mtu anatoa mwenyewe kwa hiyari yake kila anachoombwa.
Mimi wa Urambo dada.
 
Nakupa maeneo na najma huyu pande za Bachu anauza Cement, mwingine zeitun nyuma ya kwa Ali seif, mwingine Nura ana uhusiano na mzee wa nbs usije nitafuta kwenye white party
Wale wale, Tabora mjini imejaa WAKUJA na si WANYAMWEZI. Wee umepiga Waha wa Ujiji waliojaa kibao hapo mjini. Kama si hao basi Wakimbizi wa Kitusi wanaojibadili majina na kuwa na ya Kinyamwezi. Waswahili wa Pwani nao kibao ndiyo maana wanagawa kama pipi watoto wao. Angalia usije kuwa ulizaa na nduguyo, mtu wa Pwani weee.....
 
Ulijuaje dada hapo kwenye blue? Tunatangazwa wachawi kwa vile tu ni full mautundu!!!!
Hapo kwenye red nina hakika hilo haliwezekani. Aanze tu kujikuta ananogewa! THUBUTUUUU!!!!
Tuko kamili kila idara, phenotype mpaka kauli. Hatupori sisi,mtu anatoa mwenyewe kwa hiyari yake kila anachoombwa.
Mimi wa Urambo dada.
Mimi ni Sikonge, Ipole. Tujuane Mdogo wangu, tuchat kesho PM.
 
Wamanyema je? Wanasumbua sana mujini hapa? Chezeya wamanyema nyie? Nipeni sifa zao kidogo!
Wamanyema wapo juu, wanatesa pia Kigoma (Ujiji wamejaa) na Tbr mitaa ya ng'ambo, bachu, na kanyenye. Wazuri kwa sura, umbo na mapenzi.
Ngoja nkuitie BAK anawajua vizuri! LOL
 
Last edited by a moderator:
Wana maringo,wanapenda kutawala mwanaume,usistaduu kwa sana,viburi,hawana uvumilivu(vigeu geu),wanapenda ushindani.Kazi kwako..
 
Back
Top Bottom