...ila wanapenda porojo,,,wakianza kuongea huwa hawamalizi
Hahaha
Huyo ndio kaka yangu miye, wengine wote ni JPEG imagies! LOL
Nami dada yako nimeubeba chini ya mgongo, na miguu ya kubebea ipo!
hii ndo sifa ya wanyamwezi niifaamuyo.
Smile, kaka yangu mwingine huyu hapa! LOL
we nenda tabora mjini kila kona utakutana na kichaa, yaani vichaa wengi kwelikweli,
Mwangaluka kalumbu!
Wewe utakuwa Mgogo tu.To see is to belive, nishajionea!!!!!!!!
Just changamsha genge mwaya, wewe huoni tulishambuliwa vya kutosha, so ilikuwa lazima tuwarushe roho watu kidogo! Mambo lakini?
Wewe utakuwa Mgogo tu.
Tatizo ni UELEWA. Wanashindwa kutofautisha TABIA na MILA. Tabia humhusu mtu mmoja mmoja na Mila huhusu kabila tofauti ati.Kitabia hakuna tabia labda tabia ya mtu binafsi na sio kabila
Basi mmeo atakuwa Mgogo maana hueleweki! Uli nsukuma wa kuhe?Pure sukuma lady from sukuma land!!!!!
nitake radhi asee....
mnhhhh......