Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Ndugu yangu mpendwa Dr. Mwigulu Nchemba. Wewe ni mwenzetu toka siku nyingi. Sema tu kuna wakati fulani pepo lilikuingia ukawa mfia CCM wa kutupwa usijue kuwa kuna siku CCM itakuwa mikononi mwa dubu fulani. Naamini umejifunza mengi hadi hapo ulipofikia na kwa yaliyokukuta. Ila taarifa za koridoni ni kwamba hilo jimbo Jiwe kamwandaa mtu wake, yule unayemfahamu. Aliwahi kuwa upinzani kabla hajapewa vipande 30 vya Yuda.

Ila ushauri ni kwamba kama yanayozungumzwa ndio kweli basi tafadhali hakikisha unatubu na kumrudia Mungu kwa damu za watu zilizomwagika kwa amri yako au kwa kushiriki moja na moja. Halafu sielewi kwa nini ulijiingiza huko ambako wala hufanani nako kabisa! Wewe size yako ni utu wema, fadhili, upendo, na yanayofanana na hayo. Maisha yenyewe Dkt yako wapi? Mbona ni ya muda mfupi tu? Waachie akina Bashite wasiojua nini maana ya kuishi.

Asante Dkt.
 
Mimi ni Ilboru bro mwenzako. Ushauri wangu ni kwamba brand yako imekuwa damaged sana. Sababu kubwa ni kubwa hata wenzako wa CCM hawakuamini. Ungeweka msimamo wakati wa Lissu na kuwa muwazi zaidi na kutokuonekana au kutetea vitu ambavyo kila mwenye akili anaona watu wangekuheshimu hata kama ungefukuzwa uwaziri. Watanzania wengi wameshangazwa sana na jinsi ulivyoweka politics kwenye issue ya Lissu wakati Lissu ni mwana Ilboru mwenzako na ndugu yako wa Singida. Angalao ungeongea na kusema umesikitishwa na serikali yako. Huu uoga ndiyo sasa kila mtu anasema jamaa anafanya kila kitu kupata uongozi hivyo hata CCM wanakuogopa maana ubinadamu kwanza.
 
Ingekuwa hivyo tusingekuwa tunauliza maswali maana maeneo mengi yangekuwa sawa kimaendeleo, nikurahisishie kidogo, pamona na yeye kuwa kisemeo ameleta mabadiliko gani? kumbuka hata wabunge wa majimbo mengine nao ni visemeo pia lakini kuna maendeleo yanayoonekana.....
Ni wapi kuna maendeleo kwa sababu ya mbunge au diwani aliywpo? Ukikuta hivyo kwa kipindi hiki itakuwa ni coincidence na mipangilio ya serikali kuu. Kwa zama zile ilikuwa inawezekana ku diverge resources za nchi kwenda eneo la kwako na hasa kama una power. Vinginevyo mbunge ama diwani hana uwezo wa kufanya lolote la maana.
 
Natumaini kama Mh Rais atakupa tena uwaziri yale yote maovu uliyokua ukifanya kwa kutumia vyombo vya dola uache na uwashauri wenzio wawe na hofu ya mungu kuna kesho na kuna maisha baada ya uwaziri na kuna maisha baada ya mauti.
 
Bavarian8

Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
Mwigulu kaa kimya ndugu yangu we ndyo tegemeo letu 2025 nakumbuka wkt umetangaza nia ya kugombea urais ulisema Sisi wafanyakazi utajari Maslah yetu ww unaamini ktk maendeleo ya watu na si vitu tunakuamini viva mwigulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Mayu kitu gani utawaambia watu wa Iramba kwenye kampeni za mwaka huu? kwani hakuna chochote ulichowafanyia katika zile ahadi zako ulizowaahidi nakatika kukuthibitishia hilo ine nikikala kuushora niyona araia mateso na akumapata kutokana ne ulongo wako
 
@Mwigulu,Ni kitu gani ulichokitenda ulipokuwa waziri wa mambo ya ndani na Naibu Katibu mkuu wa CCM ambacho unakijutia mpaka kufa kwako?
 
Yuko wapi Ben mwana wa saa 8? Hakika damu yake itakuwa juu ya kizazi chako.. Wewe ni mzazi, hebu jiweke katika nafasi ya wazazi wa Saanane, wewe ni baba na ni mme hebu jiweke katika nafasi ya familia ya Azory Gwanda.

Hawa watu wamepotea ukiwa wewe una dhamana ya kulinda watu Hawa.

Angalia watoto wako angalia mke, angalia wazazi wako wanafuraha pindi wakuonapo mzima, linganisha na hizo familia mbili, wambieni Hao wazazi, watoto, wake sehemu walipo ndugu zao hata kama wamekufa basi waonyeshe hata mabaki ya miili yao ili wawapumzishe ndugu zao kwa heshimu sehemu inapostahili bila hivyo hakika damu hii itakulilia wewe na kizazi chako..

Husiharibu future ya kizazi chako kwa mambo yasiowahusu.
Tenda uugwana Sema unalofahamu juu ya watu Hawa, vyeo vinapita, Leo umesimama kesho waweza lala chini kwa mateso.. Zingatia Karma.....
Fact kunawakati mtu unaweza waza vibaya sana na usitake hata kumiona mtu sura yake kwa matendo yake ktk jamii
 
Kuna jamaa mmoja tukiwa tunaenda darasani asbui...alikua na anavaa kitambaa asbui na kila tukienda bwaloni lazma avae mkono wa kushoto!

Sasa siku moja mwlm wa hisabati alpotinga class jamaa mvaa kitambaa mkononi akaingia!! Jamaa mmoja wa Sumbawanga akasmama baada ya kutoka ticha...akatuambia jamani huyu jamaa mvaa kitambaa hiki kitambaa ndiyo nguvu yake ya kusomea ila pia hutumia kutuzba baadhi yetu tusielewe darasani.

Kwa bwaloni alisema tukiingia kula huvua na kutupia kwny beseni la group Mezani... alimwambia kuanzia leo usirudie mchezo yako!!

Sasa jueni kwamba watu wengi huvaa vitu tofauti na tunavyofikili!!!Dunia hadaa hii!!

Sent using Jamii Forums mobile app
shua mkuu
 
Freddie Matuja,
Mkuu Freddie Matuja
, naunga mkono hoja yako, kuwa waliomshambulia Tundu Lissu ni watu wasiojulikana na sio vijana wetu wa kazi, wasinge fanya kazi mbovu, chafu na ya kiwango cha chini namna ile kama amateurs na sio ma pro, unless kwa sasa, hivi ndio viwango vyao!.

Kanisome hapa kwa makini, niyazungumzia makundi mawili ya wasiojulikana na 'wasiojulikana' na kungumzia scenario 3 za the mitive behind shambulio la Lissu
1. Threat to National Security done by amateurs
2. Party Politics done by inside job
3. Devide and Rule done by mabeberu

P
mkuu hizo hoja zako mbona kama unapambania kauteuzi. Asingehusika nadhani washukiwa wangekuwa wamekamatwa. Lissu Mwenyezi Mungu alimponya,siku yake ya kufa bado.
 
mkuu hizo hoja zako mbona kama unapambania kauteuzi. Asingehusika nadhani washukiwa wangekuwa wamekamatwa. Lissu Mwenyezi Mungu alimponya,siku yake ya kufa bado.
Unahangaika tu. Mwenzio alishakosa interest na post aliyoanzisha mwenyewe siku nyiiiiiiiiiiingi!
 
Back
Top Bottom