Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
- Thread starter
- #101
......Kajambaaa, ushuzi unanuka
Tena sanaa, sanaa kabisa
Kachukue maji umtawazeeee
JS.....are you naughty or nice?
......Kajambaaa, ushuzi unanuka
Tena sanaa, sanaa kabisa
Kachukue maji umtawazeeee
aamina..
Amina kadala...
Amina tumpepe eeh
tumpepee.
Amina magereza aaah
magereza
amina dush dush... Malizia mwenyewe.
Hivi "kuchanika basto" ndo kukoje huko?
Na "ispiringi matingo" ndo lugha gani? Kiswahili kweli hicho?
Hii ni pale mwalimu wa kiingereza alipoingia!!!Kwa msisitizo walimu wetu walitufundisha kwa kiingereza,
''Apatheid is a crime against humanity, good morning teacheraaaaaaaaaaaaaaaaaaaa''.
Hii ni pale mwalimu wa kiingereza alipoingia!!!
JS.....are you naughty or nice?
I dont know.....guess both
Ha ha ha! Nyie watu mnachekesha.
Mnaikumbuka hii:
moja nepa shauri ya mavi
2 nepa shauri ya mavi
3 nepa shauri ya mavi
4 nepa shauri ya mavi
5 nepa shauri ya mavi
6 nepa shauri ya mavi
7 nepa shauri ya mavi
8 nepa shauri ya mavi
Delta force...Hivi watoto wa siku hizi wanacheza michezo gani?
Kioo kioo, alikivunja nani
simjui simjui
wa mwisho akamatwe
atiwe gerezani!
Sare sare maua
asiyejua kuchagua
kabila lake mzigua!!!
Zum zum nyukilia we
zum zum zum we mama nyukilia we
toka mbali kutafuta ua zuri la maua
zum zum zum...nyukilia we!
Kioo kioo, alikivunja nani
simjui simjui
wa mwisho akamatwe
atiwe gerezani!
Sare sare maua
asiyejua kuchagua
kabila lake mzigua!!!
Zum zum nyukilia we
zum zum zum we mama nyukilia we
toka mbali kutafuta ua zuri la maua
zum zum zum...nyukilia we!
Ana ana ana do
Kachanika basto
Ispiringi matingo.....