Juaaa lile literemkee mamaa aiya ..iya iya iya mamma......
Ila jamani enzi zetu zile tulifaidi sanaaaa...mi katika michezo yote nlikua naipenda miwili zaidi,,kombolela na ile kujipikilisha
kombolela bikira yako ilibaki salama kweli? lol
Aisee kwenye kombololela mi nilikuwa napenda kwenda kujificha na mashori.....unamdanganya kwamba utamlinda. Basi mnatafuta kichaka au pagale mnajificha huko. What goes on there stays there....
si ndo namuuliza huyo
tuliocheza kombolela tunaijua lol
hahaha! Dah! Nimemkumbuka kijana mmoja enzi hizo 2kicheza huu mchezo basi yeye lazima ninapokimbilia mimi kujificha nayeye huyo! Katinga! Nilichokuwa nafanya ili kumkwepa basi inabidi niombe pooo! Ama nijioneshe wakwanza loh! Huu mchezo hataree!!
Nani anakumbuka huu wa "baa baa black sheep"? Niliuimba sana huu pale IST.....
Baa, baa, black sheep,
Have you any wool?
Yes sir, yes sir,
Three bags full.
One for my master,
One for my dame,
And one for the little boy
Who lives down the lane.
Hahaaa. What a thread!
Ol' Mc Donald had a farm eeeya eeeya oooooh.
And on that farm he had a dog,
Eeya eeya ooooh.
A wooh wooh here and a wooh there,
Here wooh there wooh....
hahaha! Dah! Nimemkumbuka kijana mmoja enzi hizo 2kicheza huu mchezo basi yeye lazima ninapokimbilia mimi kujificha nayeye huyo! Katinga! Nilichokuwa nafanya ili kumkwepa basi inabidi niombe pooo! Ama nijioneshe wakwanza loh! Huu mchezo hataree!!
You so shtupit.
Hahaaa. Pale nitakukamatia I will make you sing 'em rhymes.
‘Oranges and Lemons'
say the bells of St Clements.
‘You owe me five farthings'
say the bells of St Martins.
‘When will you pay me?'
say the bells of Old Bailey.
‘When I grow rich'
say the bells of Shoreditch.
‘When will that be?'
say the bells of Stepney.
‘I do not know'
says the great bell at Bow.
Here comes a candle to light you to bed.
Here comes a chopper to chop off your head.
Chip, chop, chip, chop; the last man's DEAD!