:israel:
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh !
hadi raha!
ngoja niprint hii sredi yote!
nije niwafundishe wajukuu zangu!
maana watoto nishachelewa!
ILA HIVI WATOTO WA SIKU HIZI
wnajua kupika madangi kwleli?
kuendesha gari la ringi?ehehhe abiria tunashikili shati af nyuma nae anashikilia la mbele yake!ikifika wakti wa kona sasa !uuuwih!
-hawa watoto wajua habri ya mdako kweli?
-marait rong marait rong?
-kula mbakishie baba?
-huu mti gani wa mchongoma nikiukata ?haukatiki......
-wanajua kutiana masingi kweli?
-kucheza kinyuli nyuli?
-kukunja magauni kwnye pindo za chupi ili wacheze rede?
-wavulana wanajua kutengeneza vipago vya manati kweli?
-hv ule mchezo wa wavulana kuweka vioo katikati ya miguu ya wacichana kwa chini ili wajua rangi za kyupi bado ipo?
-nani siku hizi anangua mapera na maembe mabichi?
-wanajua kuna matunda yanaitwa mafuru na makungu?
-hiv siku hiz watoto wa kike bado wanachukua wadudu na kuweka kwenye chucu zao ili maziwa yawe makubwa?
-siku hizi wanasuka majani marefu yenye mizizi kweli?
mweeee
Nyani Ngabu uliwaza nini kuleta hii sredi!
hiv unajua nikiangalia michezo na nyimbo watu wanazoandika humu tulikuwa tunacheza tukiwa watoto ndo imefanya vile tulivyo leo dah!