Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,942
alale mahali pema peponi side wa mwanzaBravo !! Msimamo ule tangu said kule mwanza akizingua picha chuma za uwakika.
alale mahali pema peponi side wa mwanzaBravo !! Msimamo ule tangu said kule mwanza akizingua picha chuma za uwakika.
Damen!!.Sms za jamaa hizi hapaView attachment 2406121View attachment 2406123
Sms za jamaa hizi hapaView attachment 2406121View attachment 2406123
Shida pengine kwenye ahadi AHADI au MAAGANo yao ndo shida Kuna umuhimu Sheria za ndoa ziangaliwe upya itasaidia pengineMchumba hasomeshwi.. Kama kwao hakusomeshwa do it at your own risk... Kwakuwa haina guarantee kwamba atakupenda kisa ulimsomesha maana hisia za mapenzi na shukrani ya elimu ni vitu viwili tofauti kabisa
Tuingie ndo za mikataba anayevunja amlipe mwezake,mtoto wa chuo kikuu mkubwa inapotokea anamahtaji hayo na kigezo kuja muoane basi kuwe na mkataba wa ndoaKuna vitu wanawake huwa wanajitafutiaga tu kama upendi kusomeshwa bs sema mapema acha kutumia ghrama za msela ujui
Anapataje pesa zake kukusomesha wewe
Nia yake ni baadae awe mke msomi
Lkn kumbe kuna boya huko anakula mzigo kizembe nadhani amelipwa kwa zinaa alizofanya huyo demu mwache afe tu mm
Siwez kuhuzunika.
Ile video ni hatari aisee mimi ningetaka tu wanirudishie gharama zangu mambo ya za kichwa tumuachie mzee wa mjegeje.Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat
Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka kumaliza.
Mpenzi wake akaamua kuchukua maamuzi ya kumpiga risasi za kichwa hadi kumuua.![]()
Huu ni ukweli mchungu kabisa!Mchumba hasomeshwi.. Kama kwao hakusomeshwa do it at your own risk... Kwakuwa haina guarantee kwamba atakupenda kisa ulimsomesha maana hisia za mapenzi na shukrani ya elimu ni vitu viwili tofauti kabisa
Yeap tukaazimia mchumba asomeshwi.Huu mjadala wa wanaume kusomesha wachumba kwenye kikao cha wanaume tulishafikia hitimisho na notes tulipewa. Haya ndio madhara ya kutokuhudhuria vikao.
Mwanzo sikuwahi kukubaliana na hili. Sasa ninaelewa nini umeandika.Niliapa sitawai kuwa serious na mapenzi
Mapenzi ni upuuzi fulani hivi me nikikojoa imeisha hiyo
We Kama unacheat nenda tu kacheat Sina muda ki ujumla!!!
Nitakuwa na mapenzi na mama yangu na pesa tu hapa duniani!!