Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

Kuna vitu wanawake huwa wanajitafutiaga tu kama upendi kusomeshwa bs sema mapema acha kutumia ghrama za msela ujui

Anapataje pesa zake kukusomesha wewe
Nia yake ni baadae awe mke msomi
Lkn kumbe kuna boya huko anakula mzigo kizembe nadhani amelipwa kwa zinaa alizofanya huyo demu mwache afe tu mm
Siwez kuhuzunika.
Ukimsomesha makosa ni yako sio ya kwake. Mke mwenyewe hasomeshwi sembuse mpenzi tu?
Ni kwamba huwa hamsikii kila siku wanasema mchumba hasomeshwi? Au inakuaje
 
Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat

Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka kumaliza.

Mpenzi wake akaamua kuchukua maamuzi ya kumpiga risasi za kichwa hadi kumuua.
Mchumba hasomeshwi.
 
Hii habari imeandikwa kihuni, Sijui kwann? Ila habari haijakamilika na sijui kama ina ukweli au fiction
 
Ukimsomesha makosa ni yako sio ya kwake. Mke mwenyewe hasomeshwi sembuse mpenzi tu?
Ni kwamba huwa hamsikii kila siku wanasema mchumba hasomeshwi? Au inakuaje
Inaelekea huyo njemba alikuwa anampa support demu akiwa chuo na mbususu alikuwa anakula. Na huenda wazazi wake huyo demu ndo walimpeleka chuo na ada wanamlipia wao. Huyo jamaa kakosa tu busara katika maamuzi yake, kashindwa kukubaliana tu na uhalisia wa mambo na kucheki njia nyingine.......mbona kumhonga demu hata kama yupo chuo ni kawaida tu wala huwezi kuchukulia kama unamsomesha?​
 
Inaelekea huyo njemba alikuwa anampa support demu akiwa chuo na mbususu alikuwa anakula. Na huenda wazazi wake huyo demu ndo walimpeleka chuo na ada wanamlipia wao. Huyo jamaa kakosa tu busara katika maamuzi yake, kashindwa kukubaliana tu na uhalisia wa mambo na kucheki njia nyingine.......mbona kumhonga demu hata kama yupo chuo ni kawaida tu wala huwezi kuchukulia kama unamsomesha?​
Watu wapo tofauti. Mwingine ana honga akitegemea arudishiwe fadhila.
Ikitokea kinyume na matarajio yake ndo hivyo anapanic
 
Back
Top Bottom