Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Haha, Chadema mna kazi.

Swali kutoka kwa wapiga kura wajao:
Uchaguzi wa 2025 mtapigia kampeni ndani ya balozi za kigeni au mkiwa uhamishoni?
Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa

Mimi ni Mtanzania na kwanini unifikie kuwa mimi ni mwanachama wa Chadema kwanini isiwe ACT-Wazalendo.

Hii inaonyesha ni kweli kuwa Waafrika chini ya Jangwa la Sahara uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo,We are sub human.

Mkuu Nchi inapotea, Watanzania tuna taharuki kubwa kwenye nyoyo zetu.

Wewe unashangilia ujinga,unashangilia dhulma,unashangilia ubaguzi, unashangilia ubakwaji wa haki za bibadamu.

Tafauti za mawazo ya mtanzania mwenzako kuwa na mawazo tafauti ya kisiasa yemekufikisha hapo!!yamekufanya uwe mjinga.
 
Glory To God...
Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa Tanzania.

Mkurugenzi wa Amnesty International nchini Kenya, Irungu Houghton amesema kanuni ya kimataifa iliyoridhiwa na sheria za Kenya hairuhusu Kenya kuwarudisha watu kwenye mipaka kwenye nchi ambayo wamo kwenye mateso au hatari.

Karibuni, Godbless Lema alikimbila nchini Kenya na mkewe na watoto watatu akiomba hifadhi kutoka serikali ya Kenya. Lema na familia yake walivuka mpaka wa Namanga Novemba 8, 2020. Amnesty inaamini yupo chini ya polisi eneo la Kajiado, Kenya. Wakili wake, Prof. George Wajackoyah pia amethibitisha uwezekano wa kurejeshwa.

PIA, SOMA: Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

View attachment 1622630
 
Mimi sio mwanachama wachama chochote cha siasa

Mimi ni Mtanzania,na kwanini unifikie kuwa Mimi ni mwanachama wa Chadema kwanini isiwe ACT-Wazalendo

Hii inaonyesha ni kweli kuwa Waafrika chini ya Jangwa la Sahara uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo,We are sub human..

Mkuu Nchi inapotea, Watanzania tuna taharuki kubwa kwenye nyoyo zetu

Wewe unashangilia ujinga,unashangilia dhulma,unashangilia ubaguzi, unashangilia ubakwaji wa haki za bibadamu

tafauti za mawazo ya mtanzanka kuwa na mawazo tafauti ya kisiasa yemekufikisha hapo!!yamekufanya uwe mjinga...
Taharuki unayosema ni ya kutengeneza tu na wala sio ya ukweli. Mkulima wa mahindi Ruvuma, mfanyakazi wa kiwandani Dangote, dockta hospitali ya rufaa au hata muongoza watalii Kilimanjaro hawajuwi taharuki ya aina yoyote hapa nchini. Muache hizi sinema, hazina manufaa yoyote kwa mwanachi au nchi kwa ujumla.
 
Taaruki unayosema ni ya kutengeneza tu na wala sio ya ukweli. Mkulima wa mahindi Ruvuma, mfanyakazi wa kiwandani Dangote, dockta hospitali ya rufaa au hata muongoza watalii Kilimanjaro hawajuwi taaruki ya aina yoyote hapa nchni. Muache hizi sinema, hazina manufaa yoyote kwa mwanachi au nchi kwa ujumla.
Si nilikwambia Mwanzo kuwa sisi Watu Weusi hatuko Sawa

Hisia zako za kupenda Chama chako cha siasa zinakufanya usione mabaya yanayotokea Kwa Mtanzania mwenzako alie na mawazo tafauti ya kisiasa

Mkuu, Nchi inameguka, Kama ni taharuki ya kutengenezwa au ya kweli, Lakini hii Nchi inaelekea pabaya

Kuna wanasiasa wako ndani wanateswa kama wahaini,kosa lao ni kuwa na mawazo tafauti na Chama tawala,mfano mdogo huyu jamaa wa ACT anaeitwa Mazurui

Katiba inaruhusu Watanzania Kuwa na mawazo tafauti ya kisiasa,na Ndio maana tuna Vyama vingi vya kisiasa hapa Tanzania

Sasa kwanini uwatese wananchi, kwanini uwatese Wanasiasa..??!! kwanini watu wanalazimishwe kukimbia Nchi,kwanini tuwe Wakimbiz?
 
Si nilikwambia Mwanzo kuwa sisi Watu Weusi hatuko Sawa

Hisia zako za kupenda Chama chako cha siasa zinakufanya usione ubaya wa yanayotokea Kwa Mtanzania mwenzako alie na mawazo tafauti ya kisiasa

Mkuu, Nchi inameguka, Kama ni taharuki ya kutengenezwa au ya kweli,sio ya kutengenezwa

Kuna wanasiasa wako ndani wanateswa kama wahaini,kosa lao ni kuwa na mawazo tafauti na Chama tawala.mfano mdogo huyu jamaa wa ACT anaeitwa Mazurui

Katiba inaruhusu Watanzania Kuwa na mawazo tafauti ya kisiasa,na Ndio maana tuna Vyama vingi vya kisiasa hapa Tanzania

Sasa kwanini uwatese wananchi, kwanini uwatese Wanasiasa..??!! kwanini watu wanalazimoshwa kukimbia Nchi,kwanini tuwe Wakimbiz?
Mawazo tofauti au mawazo ya kupewa na watu wa nje.

Kama mawazo tofauti ni jambo la kikatiba kwanini wabunge walioshinda kihalali wanashinikizwa na watu wachache wasitimize majukumu yao ya kuwatumikia wananchi?

Mnapenda kusema katiba kule tu kunako wapendeza nyinyi.
 
Hawa pimbi walikuwa wanajifanya vidume kutukana tukana warejee sasa. Ndiyo maana tuliwaambia hawa vibaraka wanajua pa kukimbilia ila mtanzania wa kawaida wa ileje hata akienda kenya atafukuzwa ka mbwa. Lema ni mjanja mjanja, anajifanya kukimbia kesi ili aonewe huruma, hayo maigizo yataisha tu, na Tanzania itaendelea.
Crap from a mental cripple.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa pimbi walikuwa wanajifanya vidume kutukana tukana warejee sasa. Ndiyo maana tuliwaambia hawa vibaraka wanajua pa kukimbilia ila mtanzania wa kawaida wa ileje hata akienda kenya atafukuzwa ka mbwa. Lema ni mjanja mjanja, anajifanya kukimbia kesi ili aonewe huruma, hayo maigizo yataisha tu, na Tanzania itaendelea.
Crap from a mental cripple.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Risasi 16 kwa mtu na bado wengine wanakimbia nchi wewe unasema ana huruma ???????????????
Mkuu unaweza kusadikisha niyeye aliompiga risasi tutulie jamani jizohekaheka hajidai waupande wangu nahitaji maendeleo kuhisiana hakufai
 
Mkuu unaweza kusadikisha niyeye aliompiga risasi tutulie jamani jizohekaheka hajidai waupande wangu nahitaji maendeleo kuhisiana hakufai
Walau angeonyesha sympathy na kuamuru vyombo vya usalama viwatafute na kuwakamata waliohusika.

Ukimya wake unatia mashaka to anay reasonable person unless unataka kusema wewe siyo reasonable
 
Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa Tanzania.

Mkurugenzi wa Amnesty International nchini Kenya, Irungu Houghton amesema kanuni ya kimataifa iliyoridhiwa na sheria za Kenya hairuhusu Kenya kuwarudisha watu kwenye mipaka kwenye nchi ambayo wamo kwenye mateso au hatari.

Karibuni, Godbless Lema alikimbilia nchini Kenya na mkewe na watoto watatu akiomba hifadhi kutoka serikali ya Kenya. Lema na familia yake walivuka mpaka wa Namanga Novemba 8, 2020. Amnesty inaamini yupo chini ya polisi eneo la Kajiado, Kenya. Wakili wake, Prof. George Wajackoyah pia amethibitisha uwezekano wa kurejeshwa.

PIA, SOMA: Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

View attachment 1622630
Mnahamu ya kwenda nje, hanma nauli mnajifanya kutumia mbinu za kijinga Alianza Lisu, kaja lema na Nyarandu. Kuweni na akili
 
Walau angeonyesha sympathy na kuamuru vyombo vya usalama viwatafute na kuwakamata waliohusika.

Ukimya wake unatia mashaka to anay reasonable person unless unataka kusema wewe siyo reasonable
Nafikiri litolewe ilo ombi hamtaki kuwasilisha mmekalia kushutumu hata kama nimimi unanita mchawi nimeua alafu nije kilioni walasiwezi simeni tumeshindwa kumjua aliompiga risasi lisu sasa serekali tusaidieni tumjue bila kutia hofu alafu muuone kama hawapatikani shutuma zenu ndiozilisababisha akakosa matibababu
 
Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa Tanzania.

Mkurugenzi wa Amnesty International nchini Kenya, Irungu Houghton amesema kanuni ya kimataifa iliyoridhiwa na sheria za Kenya hairuhusu Kenya kuwarudisha watu kwenye mipaka kwenye nchi ambayo wamo kwenye mateso au hatari.

Karibuni, Godbless Lema alikimbilia nchini Kenya na mkewe na watoto watatu akiomba hifadhi kutoka serikali ya Kenya. Lema na familia yake walivuka mpaka wa Namanga Novemba 8, 2020. Amnesty inaamini yupo chini ya polisi eneo la Kajiado, Kenya. Wakili wake, Prof. George Wajackoyah pia amethibitisha uwezekano wa kurejeshwa.

PIA, SOMA: Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

View attachment 1622630
Asirudie kaziyaketuhukooo
Mbayaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom