Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Mimi naunga mkono upinzani Tanzania lakini lazima nikiri Chadema bado sana kushika dola, viongozi wao ni waoga sana sana, kama Lissu akienda Ubeligiji hatarudi tena ambaye alikuwa mgombea urais, Lema ndo huyo hii picha gani kwa Chadema? Kwamba sasa Tanzania litakuwa shamba la ngedere, kwa sababu nyuma ya Tundu Lissu na Lema na wenzao kuna Watanzania ambao wana matumaini nao sana. Na hii maana yake ni kwamba Upinzani kule Tanzania bara ndio umeshakata roho watu waanze alifu au waanze mwanzo.

Mbona Maalim Seif miaka yote hiyo hajawahi kukimbia na vitisho babkubwa alivyokuwa anapata hadi sasa na juzi alijitoa barabarani na akina Jussa na wenzake na bado yupo Unguja. Boby Wine Uganda sidhani kama kuna mfano wa hilaki anayoipata Uganda na kiongozi yeyote wa upinzani huko Tanzania mbona hajaondoka akawaacha walioeka matumaini kwake, Julius Malema South Africa na mifano mingi ipo.

Kama wao wamekuwa soft hivi kweli hawa wataweza kuongoza maandamano ata kilomita 1?

Mi nadhani Zanzibar inaweza kuchukua karne1 kujikomboa lakini Tanzania bara itachukua karne 1000 zaidi.

Tundu Lissu namlaumu sana alikuwa na impact kubwa sana kwenye kampeni watanzania walimpokea na kumkubali mpaka kuweza kupindua hoja za chama tawala kuhusu maendeleo yaliyoletwa lakini amekuwa easly na cheep baada hichi kilichotokea mwisho ameenda ubalozini sijui atarudi belgium muda usiojulikana.
Mbona hukuwaunga mkono walipotangaza maandamano?

Acha unafiki
 
Mimi naunga mkono upinzani Tanzania lakini lazima nikiri Chadema bado sana kushika dola, viongozi wao ni waoga sana sana, kama Lissu akienda Ubeligiji hatarudi tena ambaye alikuwa mgombea urais, Lema ndo huyo hii picha gani kwa Chadema? Kwamba sasa Tanzania litakuwa shamba la ngedere, kwa sababu nyuma ya Tundu Lissu na Lema na wenzao kuna Watanzania ambao wana matumaini nao sana. Na hii maana yake ni kwamba Upinzani kule Tanzania bara ndio umeshakata roho watu waanze alifu au waanze mwanzo.

Mbona Maalim Seif miaka yote hiyo hajawahi kukimbia na vitisho babkubwa alivyokuwa anapata hadi sasa na juzi alijitoa barabarani na akina Jussa na wenzake na bado yupo Unguja. Boby Wine Uganda sidhani kama kuna mfano wa hilaki anayoipata Uganda na kiongozi yeyote wa upinzani huko Tanzania mbona hajaondoka akawaacha walioeka matumaini kwake, Julius Malema South Africa na mifano mingi ipo.

Kama wao wamekuwa soft hivi kweli hawa wataweza kuongoza maandamano ata kilomita 1?

Mi nadhani Zanzibar inaweza kuchukua karne1 kujikomboa lakini Tanzania bara itachukua karne 1000 zaidi.

Tundu Lissu namlaumu sana alikuwa na impact kubwa sana kwenye kampeni watanzania walimpokea na kumkubali mpaka kuweza kupindua hoja za chama tawala kuhusu maendeleo yaliyoletwa lakini amekuwa easly na cheep baada hichi kilichotokea mwisho ameenda ubalozini sijui atarudi belgium muda usiojulikana.
'Mbona Maalim Seif miaka yote hiyo hajawahi kukimbia na vitisho babkubwa alivyokuwa anapata hadi sasa na juzi alijitoa barabarani na akina Jussa na wenzake na bado yupo Unguja.'

Inaonekana wewe umri wako bado ni mdogo sana au ulikua bado haujazaliwa, haujui hata kwenye zile vurugu za Zenji enzi za Mkapa huyo Maalim alikimbilia Mombasa?
 
Mbona hukuwaunga mkono walipotangaza maandamano ?

Acha unafiki
Ndio mana nimesema wapo legelege sana kiongozi anayeikimbia nchi kwa hofu ya kuogopa kuuliwa atawezaje kukaa mbele akaongoza maandamano.

Ili mimi niunge mkono walipaswa wao kuwa mbele sisi tuwe nyuma yao. Kibaya zaidi hao wananchi sasa kiongozi wao anapohama nchi kwa hofu wao ndio watakuwa wahanga ambao hautakuwa na ukombozi tena. You failed Chadema.
 
'Mbona Maalim Seif miaka yote hiyo hajawahi kukimbia na vitisho babkubwa alivyokuwa anapata hadi sasa na juzi alijitoa barabarani na akina Jussa na wenzake na bado yupo Unguja.'

Inaonekana wewe umri wako bado ni mdogo sana au ulikua bado haujazaliwa,haujui hata kwny zile vurugu za Zenji enzi za Mkapa huyo Maalim alikimbilia Mombasa?
Shwain!!! Maalim Seif hajawahi kukimbia mahali popote tokea umeanza mfumo wa vyama vingi Tanzania 1992. Baadhi ya wananchi wa Pemba ndio walikimbia pale shimoni Mombasa. Na hivi naandika leo ameenda Pemba. Maalim Seif mara ngapi walijaribu kumuua na kumpa masumu bado yupo ndani ya visiwa vya karafuu Zanzibar.

CHADEMA imefeli sana, CCM imefanikiwa sana kwa upande wa Tanganyika na upinzani huko bara ndio kwisha tena.
 
Lema yupo kwenye mateso yapi? Si juzi tu hapo alikuwa anagombea Ubunge?

Acheni utoto jamani.
Wewe siku hizi nakuheshimu kwa sababu unajitambua, watu wako kwenye mateso kwa maana halisi ya neno hilo.
 
Sivizuri kumuombea mtu kifo siajabu hujaomba chochote kwake akashindwa kukusaidia mnyonge mnyongeni haki yake mumpe jamani mzee huruma anayo sana mfano sisi wavuvi wakata yakalya tunaimani atatusaidia nakuturudishia mali zetu halali sio kusuguana na mkuu kumbuka anamadaraka makubwa akiamua utakuwa.

Muombeni tumuombe atasaidia mzee anahuruma sio kumuombea kifo haisadii mm ninachotaka sio kumzihaki mh rais wapuuze tu wewe nikiongozi unaongoza wehu . Wajinga . Wabishi. Wasomi .wasio soma.watu wote niwako hatamajumbani kwetu lawama zipo tuvumilie tu wewe nimkuu wanchi hakuna mwingine asiependa ahame chapakazi mkuu
Risasi 16 kwa mtu na bado wengine wanakimbia nchi wewe unasema ana huruma ???????????????
 
Ndio mana nimesema wapo legelege sana kiongozi anayeikimbia nchi kwa hofu ya kuogopa kuuliwa atawezaje kukaa mbele akaongoza maandamano.

Ili mimi niunge mkono walipaswa wao kuwa mbele sisi tuwe nyuma yao. Kibaya zaidi hao wananchi sasa kiongozi wao anapohama nchi kwa hofu wao ndio watakuwa wahanga ambao hautakuwa na ukombozi tena. You failed Chadema.
Kama wao wako legelege wewe ukoje?
 
Shwain!!! maalim seif hajawahi kukimbia mahali popote tokea umeanza mfumo wa vyama vingi Tanzania 1992. Baadhi ya wananchi wa Pemba ndio walikimbia pale shimoni mombasa. Na hivi naandika leo ameenda Pemba. Maalim seif mara ngapi walijaribu kumuua na kumpa masumu bado yupo ndani ya visiwa vya karafuu zanzibar.

Chadmea imefeli sana, ccm imefanikiwa sana kwa upande wa Tanganyika na upinzani huko bara ndio kwisha tena.
Nakwambia hivi wewe bado ni mtoto mdogo sana,ninayoyasema hapa huwezi kuyaelewa.

Wewe pengine hujui hata baada ya machafuko yale maalim kaja karudi hapa mjini na akawa anaishi pale 'Kilimanjaro hotel' akiwa na familia yake kwa muda mrefu tu tena pesa ya kuishi pale ikilipwa na serikali.

Ungezaliwa muda mrefu kidogo ungejua haya yote.,ila ndio hivyo tena.
 
Mimi naunga mkono upinzani Tanzania lakini lazima nikiri Chadema bado sana kushika dola, viongozi wao ni waoga sana sana, kama Lissu akienda Ubeligiji hatarudi tena ambaye alikuwa mgombea urais, Lema ndo huyo hii picha gani kwa Chadema? Kwamba sasa Tanzania litakuwa shamba la ngedere, kwa sababu nyuma ya Tundu Lissu na Lema na wenzao kuna Watanzania ambao wana matumaini nao sana. Na hii maana yake ni kwamba Upinzani kule Tanzania bara ndio umeshakata roho watu waanze alifu au waanze mwanzo.

Mbona Maalim Seif miaka yote hiyo hajawahi kukimbia na vitisho babkubwa alivyokuwa anapata hadi sasa na juzi alijitoa barabarani na akina Jussa na wenzake na bado yupo Unguja. Boby Wine Uganda sidhani kama kuna mfano wa hilaki anayoipata Uganda na kiongozi yeyote wa upinzani huko Tanzania mbona hajaondoka akawaacha walioeka matumaini kwake, Julius Malema South Africa na mifano mingi ipo.

Kama wao wamekuwa soft hivi kweli hawa wataweza kuongoza maandamano ata kilomita 1?

Mi nadhani Zanzibar inaweza kuchukua karne1 kujikomboa lakini Tanzania bara itachukua karne 1000 zaidi.

Tundu Lissu namlaumu sana alikuwa na impact kubwa sana kwenye kampeni watanzania walimpokea na kumkubali mpaka kuweza kupindua hoja za chama tawala kuhusu maendeleo yaliyoletwa lakini amekuwa easly na cheep baada hichi kilichotokea mwisho ameenda ubalozini sijui atarudi belgium muda usiojulikana.

Acha waende tujipiganie sie wenyewe na wao wanachoka aisee
 
Nafikiri CCM ndio wanaongoza kwa majambo, CCM walivyounajisi Uchaguzi Mkuu,they deserved an Oscar..
Haha, Chadema mna kazi.

Swali kutoka kwa wapiga kura wajao:
Uchaguzi wa 2025 mtapigia kampeni ndani ya balozi za kigeni au mkiwa uhamishoni?
 
Kwa hiyo inamaana CHADEMA wangeshinda wangeuza mfuko shs 5?

Silly question..

Mimi nadhani badala ya kuuliza swali la kijinga kama hilo, ungejiuliza na kujijibu kwanza swali hili;

Ni halali kwa mfuko wa simenti kuuzwa kati ya Tshs. 22,000 hadi 35,000 wakati wiki chache zilizopita mfuko huohuo ulikuwa ukiuzwa kati ya Tshs. 13,000 na 16,000?
 
Lema yupo kwenye mateso yapi? Si juzi tu hapo alikuwa anagombea Ubunge?

Acheni utoto jamani.
Kama hauna hali yeyote mbaya iliyo katika maisha yako basi ni vyema ukaacha kuwaambia watu wana utoto maana huenda hakuna tunalolijua kuhusu anayoyapitia baada ya huo uchafuzi uliopita wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom