min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,242
- 167,284
Pombe ni tamu papuchi ina utamu wake bwashee 🤣Nikajua pombe ni tamu zaidi bwashee😂😂
Pombe ni tamu papuchi ina utamu wake bwashee 🤣Nikajua pombe ni tamu zaidi bwashee😂😂
Hukwo sio kujiweka kitakatifu, ni kufuata nini maandiko yanasema, watu wanajitahidi, ila kuikimbia zinaa sio kazi rahisi. Tuzidi kuombeana mtu wa Mungu, tusihukumiane.Picha linaanza kila kitu ni dhambi! Kuvaa hereni, nguo fupi, kusuka, kupaka rangi kucha, kufanya kazi na kununua au kuuza kitu siku ya sabato, kula bata, mdudu na samaki wa magamba ni dhambi! Kila kitu ni dhambi.. imagine sasa mtu afanye hivi vyote kwa usahihi ila tamaa za mwili zinamshinda!
Hayo ndio mambo sasa mwaga vitu🤗Hahahaha nikivaa hata tambara la kudegia utaona ni swaga😅
Anafanya vyote ila kuvua chupi kwao sio dhambi hawajakatazwa km hivyo vingine, ongezea kuweka dawa kichwani ni dhambi, eeh bwana kunyoa kiduku ni dhambi, eeh kufuga rasta/dread rock pia ni dhambi, ila kuvuliana chupi sio dhambi hujaelewa nini? Njoo univulie sio dhambiPicha linaanza kila kitu ni dhambi! Kuvaa hereni, nguo fupi, kusuka, kupaka rangi kucha, kufanya kazi na kununua au kuuza kitu siku ya sabato, kula bata, mdudu na samaki wa magamba ni dhambi! Kila kitu ni dhambi.. imagine sasa mtu afanye hivi vyote kwa usahihi ila tamaa za mwili zinamshinda!
Nimwage au tumwage😅Hayo ndio mambo sasa mwaga vitu🤗
Amina baba mtumishi, mpunguze speed sasa 🤝🏽Hukwo sio kujiweka kitakatifu, ni kufuata nini maandiko yanasema, watu wanajitahidi, ila kuikimbia zinaa sio kazi rahisi. Tuzidi kuombeana mtu wa Mungu, tusihukumiane.
Wewe si ndio unavuliwa imekuwaje tena?Anafanya vyote ila kuvua chupi kwao sio dhambi hawajakatazwa km hivyo vingine, ongezea kuweka dawa kichwani ni dhambi, eeh bwana kunyoa kiduku ni dhambi, eeh kufuga rasta/dread rock pia ni dhambi, ila kuvuliana chupi sio dhambi hujaelewa nini? Njoo univulie sio dhambi
Mimi hujui nini kwani?Nimwage au tumwage😅
Speed ya nini?Amina baba mtumishi, mpunguze speed sasa 🤝🏽
Najua vyote mama , salamaleko🤗Mimi hujui nini kwani?
Ya kulomba waumini wenzenu🥲Speed ya nini?
Saa leko🥴Najua vyote mama , salamaleko🤗
Ndio maana nakupendaga😋Saa leko🥴
Nina hangover acha tuNdio maana nakupendaga😋
Umekunywa tena saa ngapi?Nina hangover acha tu
Usiku lol 😝Umekunywa tena saa ngapi?
Safi sana, kuna siku tutavunja kibubu 🤣🤣🤣Usiku lol 😝
Umesahau kutokunywa Pepsi na CocaPicha linaanza kila kitu ni dhambi! Kuvaa hereni, nguo fupi, kusuka, kupaka rangi kucha, kufanya kazi na kununua au kuuza kitu siku ya sabato, kula bata, mdudu na samaki wa magamba ni dhambi! Kila kitu ni dhambi.. imagine sasa mtu afanye hivi vyote kwa usahihi ila tamaa za mwili zinamshinda!