Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Hayo ni maoni yenu, mnadhani sisi tunajiweka kitakatifu kumbe walaa, mbona mimi na-declare kila siku hapa nawekana, tena na uzee wangu!!
Wewe ni kweli na atakaebisha anakaribia kuparalyze😀 wasabato wanapenda mno uke mkuu usibishe! Nmekulia kwenye maadili ya kisabato mko vzr mtoto anakuwa kwa kumpendeza Mungu ila sasa, sio wachungaji sio waalimu ni hatari 🔥
 
Wewe ni kweli na atakaebisha anakaribia kuparalyze😀 wasabato wanapenda mno uke mkuu usibishe! Nmekulia kwenye maadili ya kisabato mko vzr mtoto anakuwa kwa kumpendeza Mungu ila sasa, sio wachungaji sio waalimu ni hatari 🔥
Hahaha nimecheka
 
Nieleze namna wadabato wanajiweka kitakatifu nami nijue.
Picha linaanza kila kitu ni dhambi! Kuvaa hereni, nguo fupi, kusuka, kupaka rangi kucha, kufanya kazi na kununua au kuuza kitu siku ya sabato, kula bata, mdudu na samaki wa magamba ni dhambi! Kila kitu ni dhambi.. imagine sasa mtu afanye hivi vyote kwa usahihi ila tamaa za mwili zinamshinda!
 
Back
Top Bottom