masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,625
- 14,587
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
amepigiwa kura na akashinda sio kama mh.Tendega Grace Mvanda aliyepitishwa kwa upendeleosasa mtoto wa mbowe angegombea chalinze sijui mngesemaje?
maneno ya mfa maji ukabilandio chanzo cha kifo cha chadema
[h=5]1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama - Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga, kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Oganaizesheni chama- Ndugu Singo Benson Kigaila (mchag,kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Mkurugenzi wa Mawasiliano chama - John Mnyika (kilimanjaro mwenye maskani yake Dar) asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Mkya
8:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB wa kuteuliwa,
9😀k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb wa kuteuliwa
10:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa Kuteuliwa
11:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB kuteuliwa
12:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe Mwenyekiti wa Chama,
HIKI NDIO CHAMA SASA
[/h]
uwepo wa huyu jamaa CDM huwa na wasiwasi sana lakini siwezi kutolea maamuzi sababu sina ushahidi wa kile kinachomhusu. Kama uonavyo wewe ni vyema ukaleta ushahidi hapa sio kuangalia umri wa mtu..
Hivi Mabere Marando ni muislamu? Kama ndivyo hata sishangai akiandamwa. Chama hiki labda uwe mkristo ndio afadhali yako.
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
mm ni mpenz wa cdm mkubwa kuliko wewe
Umepima VVU au Kansa ya Ubongo boss? Madakitari msaidieni huyu jamaa!Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
Marando ninamfahamu binafsi japo siyo kwa karibu sana. Alikuwa ni mmoja wa timu ya usalama wa taifa nyakati za Nyerere ambapo kulikuwa na timu kali sana ya akina Walingozi. Hata hivyo mwanzoni mwa mwaka 1987, ikiwa ni ndani ya mwaka mmoja tu baada ya Nyerere kuondoka madarakani, timu ya usalama wa Taifa pale Ikulu ilibaidilishwa sana ikiwa ni pamoja na kustaafishwa kwa Opiyo ambaye ndiye aliyekuwa mkuu wao. Marando akaanzisha kampuni yake ya sheria, kwa vile amesomea sheria, na ndipo pia alipoanzisha vuguvugu la kudai vyama vingi vya siasa kupitia ile mikutano yake ya NCCR; mimi nilihudhuria mikutano michache ya NCCR kabla hajaanzisha chama kilichopewa jina la NCCR-Mageuzi.
Sijajua lengo lake katika NCCR ile wakati huo kwani inawezekana ilikuwa ni preemetive tactics, ila kwa yeyote aliyekuwapo Tanzania mwaka 1995 enzi za NCCR-Mageuzi kabla haijachafuliwa na Mrema ni vigumu kuamini kuwa kweli Marando bado alikuwa akiitumikia serikali ya CCM wakati huo. Na iwapo alikuwa haitumikii CCM wakati huo, ninakuwa na ugumu kuamini kuwa atakuwa anaitumikia CCM leo
Mimi nakubaliana na wewe kabisa, kama tutakumbuka huyu jamaa alihakikisha anaiua NCCR kipindi kile ilipokuwa moto zaidi kwa CCM. HAPA WANA CDM UNAHITAJIKA UMAKINI MKUU KWA HUYU NDUGU. PIA KAMA MNAKUMBUKA VIZURI SIKUMBUKI KAMA KUNA KESI ALIYOWAHI KUIFUNGUA AKIWA KAMA MWANASHERIA IKAISHA ZAIDI YA KUIFANYA IWE NDEFU NA KUTUMIA HELA NYINGI ZA CHAMA. HII ILIKUWA TANGU KIPINDI KILE CHA NCCR MPAKA SASA.Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.