Lakini,naomba niseme hakuna ubishi,watanzania ni regerege,why!
Tunalalamika Tembo wanaisha,harafu mtu anasema kuna orodha ya poacher 320 harafu hakuna hata kuhoji,
Ukoo unapiga kampain mtu arudi ikuru,watu kimya,ahadi hadi za boat Dodoma,watu kimya,mtukufu kashikwa na madawa china na ndege kumduata huko usiku,watu kimya,Twiga Wako airport,watu kimya,Loliondo ni Uarabuni ndani ya Tanzania watu kimya,Barabara chini ya viwango,watu kimya,wagaratia nyie,ni nani kawaroga?
Tunalalamika Tembo wanaisha,harafu mtu anasema kuna orodha ya poacher 320 harafu hakuna hata kuhoji,
Ukoo unapiga kampain mtu arudi ikuru,watu kimya,ahadi hadi za boat Dodoma,watu kimya,mtukufu kashikwa na madawa china na ndege kumduata huko usiku,watu kimya,Twiga Wako airport,watu kimya,Loliondo ni Uarabuni ndani ya Tanzania watu kimya,Barabara chini ya viwango,watu kimya,wagaratia nyie,ni nani kawaroga?