elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
binamu yangu ana nyumba ambayo anaishi na kupangisha pia. mumewe ni mkali sana hivyo basi watoto wake wa kike uwa hawatoki ovyo na kila mtu pale mtaani ana wasifia kwa tania njema. sasa ana mtoto wake mkubwa ambaye ni wa kike ana umri wa miaka 17 hivi yani huyo mtoto alikuwa akisifiwa kwa tabia njema na baba yake pamoja na majirani.
kwenye hiyo nyumba kuna dereva hiace ambaye kaoa ana mtoto mmoja sasa siku za karibuni alimrudsha mkewe nyumbani kwa kuwa maisha yamekuwa magumu kumbe huku nyuma akawa anavinjali na mtoto wa binamu yangu bila mtu yeyote kujua mchezo. usiku ukiingia kumbe mtotot wa binamu yangu alikuwa anatoka chumbani kwake anaingia chumba cha huyo mwanaume wanachakachuana.
za mwizi ni arobaini kumbe baba akashtuka akaweka mtego dogo alipotoka dingi akazama chumbani na kuwafumania akatoa kichapo na kuwafungisha ndoa ya mkeka hapohapo.
daah lakini imemuuma sana maana alimwamini sana mwanaye hakujua kuwa kunguru hafugiki,
kwenye hiyo nyumba kuna dereva hiace ambaye kaoa ana mtoto mmoja sasa siku za karibuni alimrudsha mkewe nyumbani kwa kuwa maisha yamekuwa magumu kumbe huku nyuma akawa anavinjali na mtoto wa binamu yangu bila mtu yeyote kujua mchezo. usiku ukiingia kumbe mtotot wa binamu yangu alikuwa anatoka chumbani kwake anaingia chumba cha huyo mwanaume wanachakachuana.
za mwizi ni arobaini kumbe baba akashtuka akaweka mtego dogo alipotoka dingi akazama chumbani na kuwafumania akatoa kichapo na kuwafungisha ndoa ya mkeka hapohapo.
daah lakini imemuuma sana maana alimwamini sana mwanaye hakujua kuwa kunguru hafugiki,