Amfumania mpangaji wake akivinjali na mwanaye wa kike awapiga ndoa ya mkeka.............

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,704
binamu yangu ana nyumba ambayo anaishi na kupangisha pia. mumewe ni mkali sana hivyo basi watoto wake wa kike uwa hawatoki ovyo na kila mtu pale mtaani ana wasifia kwa tania njema. sasa ana mtoto wake mkubwa ambaye ni wa kike ana umri wa miaka 17 hivi yani huyo mtoto alikuwa akisifiwa kwa tabia njema na baba yake pamoja na majirani.
kwenye hiyo nyumba kuna dereva hiace ambaye kaoa ana mtoto mmoja sasa siku za karibuni alimrudsha mkewe nyumbani kwa kuwa maisha yamekuwa magumu kumbe huku nyuma akawa anavinjali na mtoto wa binamu yangu bila mtu yeyote kujua mchezo. usiku ukiingia kumbe mtotot wa binamu yangu alikuwa anatoka chumbani kwake anaingia chumba cha huyo mwanaume wanachakachuana.
za mwizi ni arobaini kumbe baba akashtuka akaweka mtego dogo alipotoka dingi akazama chumbani na kuwafumania akatoa kichapo na kuwafungisha ndoa ya mkeka hapohapo.
daah lakini imemuuma sana maana alimwamini sana mwanaye hakujua kuwa kunguru hafugiki,
 
Huyo mzee ni mpumbavu kabisa! Badala ampeleke huyo jamaa kwa pilato yeye anamfungisha ndoa ya mkeka? Ama kweli hasira ya mkizi ni furaha ya mvuvi!
 
Mh! Binadamu haaminiki kabsaa. Tulikaa mitaa flani TMK huko 1990s nyumba ilikuwa ya ku share family 2 lkn wote walikuwa bachelors, sisi tulikuwa watatu na wao wanne wote midume mitupu. kaka yangu aliyenifuatia alikuwa fasta kinoma, Bro wetu mkubwa alikuwa anafanya kazi, mie napiga evening classes pale IFM bro wangu aliyenifuata akipiga na yeye shule. Wale jamaa zetu bana wakamleta mtoto wa dada yao alipigwa kibendi akiwa form 2 Mbeya huko, baada ya kulea miaka mitatu mtoto akarudishwa Moshi kwa bibi yule dada akaletwa town aje asome. Kaka yangu aliyenifuatia alikuwa striker mbaya sana pale mtaani wakimjua vilivyo kwa totoz, KOSA kubwa walilolifanya wale jamaa zetu ilikuwa ni kumpiga mkwara yule demu kwamba kuna flani pale nyumbani ukija cheza naye mbali ama laa atakutafuna, weeeee kumbe demu kapagawa toka huko alipofika pale ikachukua 3 days kwa mchizi kutafuna yule demu, halafu akaanza kutupa story eti hawa kaka zangu waliniambia nikija hapa nisikusogelee(Yaani huyo Bro wangu) duh tukacheeeka. Jamaa wakawa wanatuamini kwamba hakuna kinachoendelea kumbe jamaa anajilia kiulaiiiini. SO Wadau trust no ONE maisha haya!!
 
sasa anamfungisha ndoa ya mkeka mwanae na huyo jambazi anamkomesha nani???
 
Mh! Binadamu haaminiki kabsaa. Tulikaa mitaa flani TMK huko 1990s nyumba ilikuwa ya ku share family 2 lkn wote walikuwa bachelors, sisi tulikuwa watatu na wao wanne wote midume mitupu. kaka yangu aliyenifuatia alikuwa fasta kinoma, Bro wetu mkubwa alikuwa anafanya kazi, mie napiga evening classes pale IFM bro wangu aliyenifuata akipiga na yeye shule. Wale jamaa zetu bana wakamleta mtoto wa dada yao alipigwa kibendi akiwa form 2 Mbeya huko, baada ya kulea miaka mitatu mtoto akarudishwa Moshi kwa bibi yule dada akaletwa town aje asome. Kaka yangu aliyenifuatia alikuwa striker mbaya sana pale mtaani wakimjua vilivyo kwa totoz, KOSA kubwa walilolifanya wale jamaa zetu ilikuwa ni kumpiga mkwara yule demu kwamba kuna flani pale nyumbani ukija cheza naye mbali ama laa atakutafuna, weeeee kumbe demu kapagawa toka huko alipofika pale ikachukua 3 days kwa mchizi kutafuna yule demu, halafu akaanza kutupa story eti hawa kaka zangu waliniambia nikija hapa nisikusogelee(Yaani huyo Bro wangu) duh tukacheeeka. Jamaa wakawa wanatuamini kwamba hakuna kinachoendelea kumbe jamaa anajilia kiulaiiiini. SO Wadau trust no ONE maisha haya!!
hahaha ndivyo inavyokuwa mkuu ebu jaribu utengeneze folder kwenye laptop yako then i rename hivi dont open this folder. basi kila atakaye ona lazima atalifungua sasa ndicho kilichotekea kwa huyo manzi walivyo mwambia kaka yako ni noma akataka jua ni noma kwa kiasi gani hahahah
 
Wee acha tuu kuna mjomba wangu anaishi keko ana binti wa form 6 yani analiwa na mdogo wa mpangaji wake tena usiku mjomba hana la kusema!
 
Bila shaka itakuwa imetokea mikoa ya kanda ya kati au pwani. Wazee wa mikoa hiyo wanaongoza kwa upumbavu sijapata kuona. Badala ya kuwatia adhabu yeye anawaozesha tena na mume wa mtu! Sijui kama tutafika kwa mtindo huu.
 
Tutafika tu, lazima tujifunze, ni lazima wazazi wakae na wanao wawaelimishe kuhusu mahusiano, sio mnaficha na kuwaaminisha kua ni matusi lol!
 
Huyo mzee ana wazimu anampeleka mtoto wake kwenye moto ameshaambiwa alimrudisha mkewake sababu maisha magumu na yeye anampatia mtoto wake kwa ndoa mkeka!!anasikiliza muziki nyuma ya speaker asubiri tu vumbi lake ataliona!!amemkosea sana mtoto wake mazingira ndio yamemfanya akurupuke hivyo si vingine!!
 
na isitoshe huyo jambazi maisha yalimshinda akarudisha mke nyumbani, sasa huyo atamuweza? wazee wengine ndio huwaharibia watoto wao muelekeo wa maisha

Ndo hapo sasa! Ye anaona kamkomoa huyo kaka kumbe ndo anamtesa mwanae! Mizee mingine bana sijui inafikiriaga nini.......khaa!!
 
Back
Top Bottom