suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
hahaaaa halafu.... watalalaje kitanda kimoja wakinuniana
itabidi akaze moyo
hahaaaa halafu.... watalalaje kitanda kimoja wakinuniana
Kimya ni jibu tosha kabisa mtizame tu ila usiache kumsalimia
Yapata mwezi sasa baada ya kubeba vitu vyangu na kuondoka Kwa dharau na kusahau wema wangu nilioutenda kwake kwani nilimtoa akiwa Hana hata darasa moja ila sasa nimhitimu wa chuo kikuu.
Baada ya malalamiko na kumtafuta kila kona bila ya mafanikio eti Leo hii amerudi, sijamsemesha chochote na namwangalia tu sijui nimfanyeje jamani?
Karudi peke yake sijui kasahau nini na mpaka sasa simuelewi maana kakaa kimya namwangalia Kwa uoga hapa