Amerudi sijui nimfanyeje

Amerudi sijui nimfanyeje

Tatizo unamtizama kwa macho lege lege. Mtazame kwa kumkazia jicho sana.
 
mwanza yote yangu ok ushauri kutoka kwa yaliomkuta hivo hivo utafikri umeiga story.
PIGA CHINI. Hayo maumivu utakayopata ni ya mda tu na hayataringana na maumivu utakayopata kwa mawazo ya kukosa imani na huyo mke wako.

Ila tukumbuke tuna upande mmoja tu wa hadisi hapa. Mwambie wife a join JF pia basi naye amwage mboga ili washauri watoe unbiased opinion.
 
Last edited by a moderator:
Mgegede kwa hasira Mkuu
maana haijalishi ndio utamkomoa
ila unajifariji huwezi juwa wanaume wenzako walipiga style gani
HAINA SHOBO WA MAKOMBO
 
Mkuu usisahau kutupa matokeo sijui utampa vitasa sijui vimlango any way nasubiri kipenga cha mwisho
Yapata mwezi sasa baada ya kubeba vitu vyangu na kuondoka Kwa dharau na kusahau wema wangu nilioutenda kwake kwani nilimtoa akiwa Hana hata darasa moja ila sasa nimhitimu wa chuo kikuu.

Baada ya malalamiko na kumtafuta kila kona bila ya mafanikio eti Leo hii amerudi, sijamsemesha chochote na namwangalia tu sijui nimfanyeje jamani?
 
Back
Top Bottom