Where is Sanane? Azory? Mdude? Ali Kibao? And many others critics of Samia?Umejuaje
Damu yake imekuwa sadaka juu ya ardhi ya nchi yenu. Kawaonyesha njia kazi kwenu.Ni hilo tu! Shujaa mfu! Ilibidi uhakikishe hufi mpaka uone mwisho wa mapambano yako!
SHUJAA MFU, HAIJATUSAIDIA
Wewe unajua walipo usemeWhere is Sanane? Azory? Mdude? Ali Kibao? And many others critics of Samia?
IndeedYeye kaplay part yake, na wewe Fanya unachoweza sasa
Kwenye mitungi ya gesi ya bei rahisi huko CubanaNchi gani unadhani Polepole alipaswa awe amejificha?
Halafu alimlaumu Magufuli kwenda kufungua kiwanda cha Rostam,kuwaamini tena wanamitandao then wakamuua.Huku yeye mwenyewe akifanya kosa kubwa mno..Kuwasema wanamitandao akiwa hapo Ununio. Alitakiwa awe nchi ya nje .Ni hilo tu! Shujaa mfu! Ilibidi uhakikishe hufi mpaka uone mwisho wa mapambano yako!
SHUJAA MFU, HAIJATUSAIDIA
Sijui ila kwa hotuba zake hawawezi kumsalimisha. Kama mtu kuchoma gazeti amekufa/toweka/ amefichwa ( but most likely ni maiti) sembuse alivyokuwa akimsema samia!Wewe unajua walipo useme
Upande shabiki wa fisadiz upande shabiki wa kudai haki.Kwenye mitungi ya gesi ya bei rahisi huko Cubana
Exactly, kama walimuua Magufuli as per his assertion, sasa kweli alivyowakandia wamuache? He is dead!Halafu alimlaumu Magufuli kwenda kufungua kiwanda cha Rostam,kuwaamini tena wanamitandao then wakamuua.Huku yeye mwenyewe akifanya kosa kubwa mno..Kuwasema wanamitandao akiwa hapo Ununio. Alitakiwa awe nchi ya nje .