Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
Kha! Ukikaa na demu mzee ukamponda hivi, utakujamwita aje tena kweli?
 
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
hivi aliye zaa ni wajomba au wazazi maana kama mifugo unayo wewe hapange bei dalali
 
Tunaomba picha ya huy mlipiwa mahar mkuu
Picha ya nn?
371313.jpg
 
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Nisingetoa hata millioni mbili
 
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.

baadhi ya koo huwa wankujumlishia gharama za vitu vyote vinavyohitajika na kukupa gharama kuu na kuondoa usumbufu wa kutoa hiki na kile,ila pole sna ndio ukubwa mjomba.
 
nim
Nimekutenga
eona tu nikajisogeza mwenyewe
kisa cha kuumiza kamoyo kangu haka kadogo ni nini?
ila siwezi kukutoa kwa kamoyo kangu haka, kuna wakati kanaanza kuita jina lako kenyewe
nakaambia stop wewe kamoyo ka Jje's maana umetengwa.
basi tu tunasogeza siku na maisha yanaenda.
 
nim

eona tu nikajisogeza mwenyewe
kisa cha kuumiza kamoyo kangu haka kadogo ni nini?
ila siwezi kukutoa kwa kamoyo kangu haka, kuna wakati kanaanza kuita jina lako kenyewe
nakaambia stop wewe kamoyo ka Jje's maana umetengwa.
basi tu tunasogeza siku na maisha yanaenda.
Astaghafirulilah... Tema mate chini.
 
As Long wamekubaliana hata ingekuwa Bilion
 
Bikra sina uhakika cz wao ndio wanajua@ bt kwa ninavyomjua itakuwa bikra kapole SNA hana izo
Kapole. .??
brother ungejua huku chuo wanavyofanyiwaga nahisi ungekuwa mpole tu
 
Nimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.
haaaa ile namba yangu haishii 6 bhana, nilisikia ulikuwa unanipigia kwa namba inayoishia 6

teh teh umenikumbusha mbali sana ujue teh
 
Nimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.
Arusha nimejaa tele hata ukiuliza muuza genge yeyote kuwa unamtafuta jje's unanipata bila shida yeyote.

teh teh biashara zangu ziko pande hizo nilizotaja
 
haaaa ile namba yangu haishii 6 bhana, nilisikia ulikuwa unanipigia kwa namba inayoishia 6

teh teh umenikumbusha mbali sana ujue teh
We nitenge tu... mi ntamuachia Mungu.

Shauri zako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom