Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

mzima haswa my shem, nimemis not to zet eksitent
hahahahahah welcome back maana naona umebanwa na naniliuuuuuuuuuuuuu
Aah wapi wewe ndiye nikuambie welcom back... humu hauonekani
 
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
yaani hii imeshakua biashara kama biashara nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom