Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

Niko maeneo @ kumpa kampani rafiki wa karibu Eric anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni,,,,sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa mil4 cash katika5mil.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza ....jamani Mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70000 tu .
NB:wajomba muwe na huruma....maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
 
mh sio bure huyo mwanamke naniliuu yake itakuwa na TV ndani...!!
 
Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
Bint msomi msukuma@ kazuri
 
Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
Bikra sina uhakika cz wao ndio wanajua@ bt kwa ninavyomjua itakuwa bikra kapole SNA hana izo
 
Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
Hata angekuwa bikra mpaka kidole hakipiti, nini uhalisia wa mahari??
Milion 4 si anauzwa huyo!! Mimi sitoi hata nusu yake. Ukiuliza ya kazi gani unaambiwa ni shukurani kwa kumlea binti yao, hapo huwa najiuliza
Je mtu kutenda wajibu wake anastahili shukurani?
 
Kapole sana sidhani km kameanza vitu vya mapenzi@ ni graduate UDSM...amesomea kukaa nyumbani PSPA
Kama tunda halijang'atwa bado, hata hiyo M4 bado ni ndogo sana. Lakini kama wajanja walishang'ata, hiyo ni pesa mingi sana kuitoa aisee.
 
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.

Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.

NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..

Pole ndugu ya
 
Kaka umeamua kuja kunidhalilisha kwenye mtandao? Mahari nimelipa na nishampenda@ sipendi unafki nakuheshimu sana
Ndoa zako2 mbona sikuingilii unaishi nao kidkteta mbna sisemi?
Simaindi aise unaijua kazi yangu jiandae kwa mashambulizi...
Nikweli umempenda
Ila nakula taratibu mke wake
Anaazaia na H
Pole Sana
 
Kaka umeamua kuja kunidhalilisha kwenye mtandao? Mahari nimelipa na nishampenda@ sipendi unafki nakuheshimu sana
Ndoa zako2 mbona sikuingilii unaishi nao kidkteta mbna sisemi?
Simaindi aise unaijua kazi yangu jiandae kwa mashambulizi...
Sitishiki mil4 nyingi sana mkuu@ kuishi na wake2 kunahitaji udikteta unadhania bila hivo wangeishi nyumba1 kirahisi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom