Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

Usijali, Wewe za kwako hizi...

images
Upendo ni zaidi ya hizo hela... We sawa tuu
 
Mill 4 tu.mbn mm nimelip 6 na ngombe mmoja mkuu at xijawaxa ajab kwan kis mwanamke nitakaeish nae alaf bad ananitegmea mnoo
 
wewe bikira unayo? ushawahi kuwabikiri wangapi? kwa taarifa yako wanawake wachache sana wanaoolewa wa mjni wanaoolewa na wariowabikiri.
unaweza kuoa bikira ukafikiri wewe ndo mjanja wake akakutana na wataalamu wakamkarabati ukaonekana wewe sio kitu.
we lipa tu hiyo nne tabu iko wapi ukipata mechi tatu kwa wiki kwa miaka 20 hela yote isharudi!
utagoma kulipa milioni 4 lakini utamnunulia baba mkwe gari la m12 au utamsomesha shemeji yako kwa m7 we endelea kugoma
Mimi ni mwanaume nitakuwaje na bikira?
Kwa hiyo nikioa mwanamke asiye na bikra hawezi kushawishiwa na wataalamu, kwanza ni rahisi kwa mwanamke aliyezoea mihogo yakila aina kuchepuka kwenye ndoa kuliko mgeni wa hayo mambo kuanza!

Pia kumnunulia gari hata ya million moja baba ambaye mtoto wake ameolewa wakati tundu limetanuliwa huko chini huo utakuwa ni ufala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom