upo sawa ila utakuwa unatokea OLD MOSHIBaada ya miezi wanaachana, bora anunue kiwanja anauziwa mke bei ghal sana
mahari - mahaliKulipa mahali kumepitwa na wakati,..
Huu si muda wa kulipa mahali
Huwa najiuliza hii mahali ni ya nini..!
Haina maana kabisa...
karibu, nimeona wengi wanaandika mahali nikajua kiswahili kinaanza kubadilishwa polepole![]()
![]()
Ahsante
Haya jje'skaribu, nimeona wengi wanaandika mahali nikajua kiswahili kinaanza kubadilishwa polepole
teh teh
Bro,Hata nimuoe Beyonce siwezi kutoa hiyo pesa..
Miss youkaribu, nimeona wengi wanaandika mahali nikajua kiswahili kinaanza kubadilishwa polepole
teh teh
mimi zaidi my shem, but since najua uko bien hata sina wasi wasiMiss you
*****Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Not to zet eksitent.mimi zaidi my shem, but since najua uko bien hata sina wasi wasi
Hiyo ndoa haitakuwa na Amani hata kidogo wakiudhiana kidogo jamaa anakumbuka M4 yake hasira inazidi wazazi acheni uwapa watoto wenu wakati Mgumu kwenye ndoa watatumimishwa kama Ng'ombe ili kufidia Mahali.Jamaa katoka nje analalamika
mzima haswa my shem, nimemis not to zet eksitentNot to zet eksitent.
U mzima lkn!
mtoa mada!Anzisha uzi wake ushauriwe vzrHivi wakuu inakuaje,mfano MTU kalipa mahari then mwanamke anakaa miez 7 anarud kwao na wazaz wake wanampokea na kumfungulia duka na mahari ilikua million mbili,,ni ushauri wa kitaalam ndo unatakiwa.