nani kakuambia naweza thubutu? acha hizo bhanaWe nitenge tu... mi ntamuachia Mungu.
Shauri zako.
We sawa tu...Arusha nimejaa tele hata ukiuliza muuza genge yeyote kuwa unamtafuta jje's unanipata bila shida yeyote.
teh teh biashara zangu ziko pande hizo nilizotaja
nani kakuambia naweza thubutu? acha hizo bhana
ukija safari ingine njoo mitaa ya matejoo wewe itisha tu jje's utanipata.
usitumie hata vocha yako kabisa
kkkkkkkk
Huyo bwege tene narudia huyo bwege.najua atasema et kampnda!!!ivi wewe unaoa MTU kwa mil4 unakichaa?ana upekee wa aina gan?kama anakunya dhahab sawa ila kama anakunya mavi tena yanayonuka Mkuu hapo kachambiaa makalii,,,anyway mtoa mada tutaombaa mrejesho wa hii ndoaNiko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Hahahahahha mbav zang Mkuu,.....bila shaka wew ni wakike maana unamuunga mkono mtolewa maharTeh teh teeeeh!! Toeni bwana acheni kulia lia.
Siwezi kutoa mahari ya 4+ mil. kwa mwanamke hata awe na phd, ila naweza nikatoa mahari hata ya 10+ mil. kwa mwanamke bikrahivi unamwoa binti kamaliza masters akiwa amesomeshwa na wazazi wake na ameanza kazi pia wewe uwezo unao na umeishi mjini na gharama unazijua shida iko wapi ukiwapa wazazi wake zawadi 4m
Umemaliza kila kitu mkuuku
wa used is not an issue ishue unakuta mke mwenyewe papuche ya hovyo hovyo mchafu hajui kupika akili yake kama mwajuma ndala ndefu basi tafran tupu
hela ni kitu ingine nimeamini, nimejikuta natabasamu mwenyewe.thanks sana dear, make it really kwa kale kanamba kalikosajiliwa basi na jina langu halisi jje's bhana niende faster kukachua.Hebu chukua hii kwanza uende saluni, nikija nikukute uko tayari.
![]()
KhaaaaaaaHebu chukua hii kwanza uende saluni, nikija nikukute uko tayari.
![]()
wewe bikira unayo? ushawahi kuwabikiri wangapi? kwa taarifa yako wanawake wachache sana wanaoolewa wa mjni wanaoolewa na wariowabikiri.Siwezi kutoa mahari ya 4+ mil. kwa mwanamke hata awe na phd, ila naweza nikatoa mahari hata ya 10+ mil. kwa mwanamke bikra
KumbeeeeeNimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.
hela ni kitu ingine nimeamini, nimejikuta natabasamu mwenyewe.thanks sana dear, make it really kwa kale kanamba kalikosajiliwa basi na jina langu halisi jje's bhana niende faster kukachua.
thanks though for the steps taken so far
looooo hela kiboko
AkuuuUsijali, wewe ndio chaguo langu...
![]()