Wa Tanzania kwa unafiki 100%, humu wachangiaji kama malaika, mshukuru nyumba zina ukuta tunastirika tu mambo ya chumbani yanabaki chumbani. Na ukiona mtu analaani kwa nguvu zote ujuwe mhhhh. Haya mambo yapo sana tu hakuna msafi hapa cha ajabu watu wanatoa ushauri kama wana uzoefu mtu anayetoa ushauri anatoa kwa uzoefu wake. Tuache kujifanya malaika sote wachafu tu.