Amekuwa akifanya mapenzi kinyume na maumbile, sasa anataka kubeba mimba

Wa Tanzania kwa unafiki 100%, humu wachangiaji kama malaika, mshukuru nyumba zina ukuta tunastirika tu mambo ya chumbani yanabaki chumbani. Na ukiona mtu analaani kwa nguvu zote ujuwe mhhhh. Haya mambo yapo sana tu hakuna msafi hapa cha ajabu watu wanatoa ushauri kama wana uzoefu mtu anayetoa ushauri anatoa kwa uzoefu wake. Tuache kujifanya malaika sote wachafu tu.
 
Ushauri wa kitaalamu:

1. Awe mtu wa mazoezi laini na hasa ya kutembea kwa siku 100 hadi 200 tangu alivyoacha huo mchezo.

2. Ajitahidi kula kawaida na hasa milo yenye fibers huku akitumia zaidi Maji na Juisi za kutengeneza.

3. Asibebe Mimba katika kipindi hiki cha mwanzo wa miezi 3 hadi 4 baada ya kuacha.

4. Aende Clinic ya Mama, Baba na Mtoto au akamuone daktari na kumueleza ukweli wote ili asaidiwe kwa kupata ushauri na tiba sahihi ya tatizo lake. Hospitalini hakuna Aibu.

5. Akae mbali na huyo BAASHA wake Mshenzz

6. Asiwe anajizuia haja muda mrefu.

7. Atembelee na kukaa sehemu za baridi kama anahitaji kuharakisha mapendekezo hayo ya uponaji hapo juu.

Naomba kuwasilisha.
Namba 4 kwa madaktari tulionao sasa nao watamuomba labda akute Wa kike
 
Ushauri wa kitaalamu:

1. Awe mtu wa mazoezi laini na hasa ya kutembea kwa siku 100 hadi 200 tangu alivyoacha huo mchezo.

2. Ajitahidi kula kawaida na hasa milo yenye fibers huku akitumia zaidi Maji na Juisi za kutengeneza.

3. Asibebe Mimba katika kipindi hiki cha mwanzo wa miezi 3 hadi 4 baada ya kuacha.

4. Aende Clinic ya Mama, Baba na Mtoto au akamuone daktari na kumueleza ukweli wote ili asaidiwe kwa kupata ushauri na tiba sahihi ya tatizo lake. Hospitalini hakuna Aibu.

5. Akae mbali na huyo BAASHA wake Mshenzz

6. Asiwe anajizuia haja muda mrefu.

7. Atembelee na kukaa sehemu za baridi kama anahitaji kuharakisha mapendekezo hayo ya uponaji hapo juu.

Naomba kuwasilisha.
Nashukuru sana mkuu nimepata sehemu ya kuanzia
 
Tulianza kama mchezo, kuitana popobawa na hatimae tigo ikaliwa.

Huo mchezo umeendelea na hatima ameona ni muda wa kuzaa sasa.

Changamoto iliyopo ni madhara "tunayo sikia sikia"
Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida.

Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji.

Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.
Njoo kwenye hili group la wsp halafu ukishaingia uliza swali lako inbox utapata msaada

 
Alafu ukute Apo Ni mume na mke ndo walikua wanafanya hio michezo Sasa wanaomba ushauri Sasa Kila Dhambi lazima ulipe Garama zake Sasa ndo Kama hizo na saa nyingine Ni Mauti kabisa.
 
Tulianza kama mchezo, kuitana popobawa na hatimae tigo ikaliwa. Huo mchezo umeendelea na hatima ameona ni muda wa kuzaa sasa. Changamoto iliyopo ni madhara "tunayo sikia sikia"

Kuwa kama ulikuwa unafanya huo mchezo ni ngumu kuzaa kwa hali ya kawaida. Isitoshe jambo la kusikitisha mimba yake ya kwanza alijifungua kwa upasuaji. Anaomba ushauri wa njia nzuri ya kufanya ili kuepuka madhara yanayosemwa.
Mwabie apasuliwe tena asije kumnyea mtoto bure na kumuunguza kwa uzembe wake wa kupenda kujambia kijiti.
 
Back
Top Bottom