Amekutwa na ky jelly!

Twilumba

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
11,529
12,365
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!
 
Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja!


Badala ya kumtuhumu moja kwa moja ni bora amnuse kwanza kama anatoa harufu ya kinyesi, au akosee kwa makusudi wakati wa mechi aone kama itakwama au itapitiliza.
 
Aaahh hizi ndoa za siku hizi nazo kisa fulani kaoa sijui kaolewa zinaboa!!
Mwambie bro ajaribu kutumia mtandao nae akiona unapatiakana jibu analo akiona not reachable bas ndoa iwepo
 
no, mm nayafahamu haya mafuta, yametngenezwa special kwa wanawake wacotoa ute wkt wa tendo la ndoa sa wabongo ndo wakachakachua ma2miz yake
 
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!

KY Jelly ni lubricant maalum inayo2mika kulainisha uke kama kunafanyika uchunguz unaohitaji kuingiza mkono au chombo chochote. Inawezekana huyo dada alikuwa na tatizo.
 
Usihitimishe jambo kabla ya kulifanyia tafakuri ya kina. Hiyo jelly inatumiwa na wanawake kwa malengo mbalimbali. Nisingependa nitaje hapa lakini inawezekana mtarajiwa wa kaka yako alikuwa na shida nyingine zaidi ya hiyo ya kutigokiwa.
 
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!

kabla ya kujiunga hapa, nilipitia kwa dada dinah. Hivyo ninajuwa kuwa tatizo la kutokunyevuka linawapata wengi tu, may be na yy anayo. Lkn ki2 muhimu cha kujiuliza, je hiyo ky jelly iliyotumika, imetumika pa1 na nani? Kwasababu lengu letu ni kujenga, sitopenda kuuliza maswali zaidi ila uhalali wa kuvuka 50% kwa anachodhaniwa haupo.
 
WanaJF katika hali ya kustaajabisha kaka yangu anayetegemea kuona mwezi August 2011 ameshindwa kuvumilia na amefikia uamuzi wa kuahirisha harusi kwa kumkuta mtarajiwa wake akiwa na KY JELLY iliyotumika kiasi kidogo iliyokuwa kwenye kipima joto cha shemeji yangu mtarajiwa! Kwa mujibu wa bro wangu anasikia kuwa KY Jelly inatumika kwenye yale mambo yetu ya mtandao wa Robo shilingi aka tIGO na hivyo anaamini shemeji yangu ndo tabia yake! Je ni kweli KY Jelly inatumika kwenye mchezo huo. Lakini hata kama ni hvyo je kuna uhalali wa kumtuhumu moja kwa moja, naomba tumshauri huyu kaka yangu jamani tuinusuru hii ndoa tarajiwa!

Kama brother wako hajui kumtayarisha mwanamke vizuri, inabidi mwanmke atumie KY kupata lubrication. Ukute hiyo KY ilikuwa kwa ajili ya kaka yako. Unless kaka yako alikuwa amchakachui bibi harusi mtarajiwa.
 
KY Jelly ni lubricant maalum inayo2mika kulainisha uke kama kunafanyika uchunguz unaohitaji kuingiza mkono au chombo chochote. Inawezekana huyo dada alikuwa na tatizo.

Ni bora kama ana tatizo si angesema tu! Tatizo gani la siri kiasi cha kushindwa kumwambia mwenzi wake!
 
Kama brother wako hajui kumtayarisha mwanamke vizuri, inabidi mwanmke atumie KY kupata lubrication. Ukute hiyo KY ilikuwa kwa ajili ya kaka yako. Unless kaka yako alikuwa amchakachui bibi harusi mtarajiwa.

Ameshamchakachua kwa idadi zisizohesabika!
 
Usihitimishe jambo kabla ya kulifanyia tafakuri ya kina. Hiyo jelly inatumiwa na wanawake kwa malengo mbalimbali. Nisingependa nitaje hapa lakini inawezekana mtarajiwa wa kaka yako alikuwa na shida nyingine zaidi ya hiyo ya kutigokiwa.

Angemweleza isingekuwa tatizo!!
 
Mkuu uamuzi alochukua bro wako niwa busara kabisa... sababu huo aloukuta ni uthibitisho kuwa shemeji yako ni mtumiaji mzuri wa mtandao na jinsi bongo ilivochafuka kwa matumizi ya huo mtandao yaani hakuna ubishi na hilo....:decision:
 
Aaahh hizi ndoa za siku hizi nazo kisa fulani kaoa sijui kaolewa zinaboa!!
Mwambie bro ajaribu kutumia mtandao nae akiona unapatiakana jibu analo akiona not reachable bas ndoa iwepo

mke na mtandao mh?
 
Mkuu uamuzi alochukua bro wako niwa busara kabisa... sababu huo aloukuta ni uthibitisho kuwa shemeji yako ni mtumiaji mzuri wa mtandao na jinsi bongo ilivochafuka kwa matumizi ya huo mtandao yaani hakuna ubishi na hilo....:decision:

Heeeh nimetaharuki!!
 
Ky sio lazima ni ya TIGO tu jamani unaweza tumia hata kwa njia ya kawaida na majumbani ndio kabisa mtu unajua kabisa mumeo anachakachua nje hivyo unajihami asije akakuchubua hivyo akitaka kufanya mapenzi na wewe unaweza kutumia. Pia kuna wanawake wengine inawatokea ghafla wanakuwa wakavu sana kwa hiyo wanatumia.
Kitu kingine anaweza kuwa aliitumia kwako bila wewe kujua wanawake huwa hawapendi kuonekana hawasikii raha wafanyapo mapenzi na wapenzi wao kwa hiyo anaweza akajiandaa kwao na kujipaka then akija kwako mnaendelea kama kawaida. muuluze atakupa jibu tu, usikimbilie conclusion
 
loh babu huyo shemeji anawapandisha watu pikipiki aloo mwambie jamaa ashtuke:mullet:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom