Ameamua kuni unfriend mpaka kwenye fecebook

Ameamua kuni unfriend mpaka kwenye fecebook

Mbona unalialia!
Kwani huwezi ishi mwenyewe bila yeye?
Ndorooobo yeye hebu mvungie na wewe jifanye na wewe umemzira. Usimuulizie wala nin wala cha sms wala cha kumpigia hadi marafiki zake wakaushie afu baada ya 2weeks njoo hapa toa jibu. Hapo unampa kibur mana anajua unapenda mzee ndo sababu.
 
mkuu hupendwi dont force it... hakuna ngoma isiyokosa mchezaji... ngojea ngoma yako yupo wa kuicheza ... fanya mengine ya msingi usimalize nguvu na akili kwa kusukuma ukuta
 
Kajua unampenda sana...just let her go mapenzi ni mutual feeling hayalazimishwi.
 
Nini kilitokea hadi mkahitilafiana na kila mtu kukaa mbali mbali? Pengine bado ana kumbu kumbu na hili suala!! Naamini bado anakupenda sana na ndo maana anakukwepa na kukufanyia hivyo ili na wewe uumie. Kumpata ni rahisi sana!
 
Nini kilitokea hadi mkahitilafiana na kila mtu kukaa mbali mbali? Pengine bado ana kumbu kumbu na hili suala!! Naamini bado anakupenda sana na ndo maana anakukwepa na kukufanyia hivyo ili na wewe uumie. Kumpata ni rahisi sana!

rahisi kivipo mkuu nipe mwongozo maana nimejaribu yoote nimeshindwaa mkuu
 
nikusaidie jambo japo najua utapuuza

USIMFATE FATE,WALA KUMPIGIA SIMU WALA KUMTUMIA MARAFIKI ZAKE(jikaze usimtafute) nakupa week moja tu lazima arudi kwako

Na asiporudi mkuu, afanyeje?
 
shule ndio zimeshafungwa hvyo.. muendage na tution
 
shule ndio zimeshafungwa hvyo.. muendage na tution

Childish idea usifikiri kila aliyeko humu ni mtoto au yupo shule kama wewe mkuu comedown kama unaona nimeleta mada ya kishule piata hivi
 
Ni msichana niliyeishi nae miezi kama 7 tulikua tunaishi poa tu badae kulitokea kutoelewana tukaishi mbali na mbali lakini kwakua nilikua nampenda sana nilimsihi na kujishusha yaishe, lakini yeye alikaza nikatumia mpaka rafiki zake wakimwambia kuhusu mimi hataki hata kuwasikiliza, nikimpigia simu hapokei nikimwamdikia sms hajibu.

Nikakaa kama miezi mitatu nikajaribu kumcheki na kumwambia naenda kumsalimia akanimkasirikia sana sana fecebook alikua rafiki, lakini naona juzi kaniunfriend sijui hata nifanyenini? Hivyi huyu tunaweza kurudiana kweli au nikomae kivyangu.

Ingawa roho inauma na nampenda sana na kwanini kaniunfriend? Ndio najiuliza wakati marafiki zangu wote bado rafiki zake na akiongea nao wanaitana shemeji ingawa wakimwambia kuhusu mimi anawachenjia.

Ngoja nikwambie kitu kimoja, unapenda kuumia na kuteseka maishani mwako? bila shaka jibu ni hapana!!(au??), ktk maisha hasa ya mahusiano mikwazo haya kimbiliki, hivyo kama huyo ameshindwa kusamehe ktk hilo dogo (kubwa - sijui), basi hamuwezi kuwa na maisha mazuri katika ndoa. Labda umuonye aache hiyo tabia.

Pia inawezekana kampenda mtu mwingine zaidi yako, na hivyo hilo kosa anatumia kama kigezo. Acha usimtafute na usubiri uone kama atarudi na kukutafuta, akirudi, angalia uelekeo wa upepo, hapo utajua nini uamue, asiporudi muache usijipendekeze na kumlazimisha akupende, itakuja kuku gharimu hapo badae.
 
Mda mwingine muwe mnapenda kiasi acheni kujidanganya na i love u nyingi za kwenye smat fone huku mkijisahau kuwa kuna kuachwa. Kwa kifupi ameshapata mwanaume mwingine achana na habari za kulia lia kama mtoto
 
Ni msichana niliyeishi nae miezi kama 7 tulikua tunaishi poa tu badae kulitokea kutoelewana tukaishi mbali na mbali lakini kwakua nilikua nampenda sana nilimsihi na kujishusha yaishe, lakini yeye alikaza nikatumia mpaka rafiki zake wakimwambia kuhusu mimi hataki hata kuwasikiliza, nikimpigia simu hapokei nikimwamdikia sms hajibu.

Nikakaa kama miezi mitatu nikajaribu kumcheki na kumwambia naenda kumsalimia akanimkasirikia sana sana fecebook alikua rafiki, lakini naona juzi kaniunfriend sijui hata nifanyenini? Hivyi huyu tunaweza kurudiana kweli au nikomae kivyangu.

Ingawa roho inauma na nampenda sana na kwanini kaniunfriend? Ndio najiuliza wakati marafiki zangu wote bado rafiki zake na akiongea nao wanaitana shemeji ingawa wakimwambia kuhusu mimi anawachenjia.

lazimisha upendo uone kama hujauza hadi mji wa wazaz wako kutiniza matakwa yake.
 
Mbona bwana mdogo unapenda kuuzia watu chai?

21/02/2015
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=808013

Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anadema hana shida na mme.

Ni mtu wa jeuri kwa sasa. Nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa, nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna.

Sinui kapata bwana huko? Amekuwa jeuri sana, kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate Forever Living
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom