sunola
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 2,781
- 1,741
Mbona unalialia!
Kwani huwezi ishi mwenyewe bila yeye?
Ndorooobo yeye hebu mvungie na wewe jifanye na wewe umemzira. Usimuulizie wala nin wala cha sms wala cha kumpigia hadi marafiki zake wakaushie afu baada ya 2weeks njoo hapa toa jibu. Hapo unampa kibur mana anajua unapenda mzee ndo sababu.
Kwani huwezi ishi mwenyewe bila yeye?
Ndorooobo yeye hebu mvungie na wewe jifanye na wewe umemzira. Usimuulizie wala nin wala cha sms wala cha kumpigia hadi marafiki zake wakaushie afu baada ya 2weeks njoo hapa toa jibu. Hapo unampa kibur mana anajua unapenda mzee ndo sababu.