Ni msichana niliyeishi nae miezi kama 7 tulikua tunaishi poa tu badae kulitokea kutoelewana tukaishi mbali na mbali lakini kwakua nilikua nampenda sana nilimsihi na kujishusha yaishe, lakini yeye alikaza nikatumia mpaka rafiki zake wakimwambia kuhusu mimi hataki hata kuwasikiliza, nikimpigia simu hapokei nikimwamdikia sms hajibu.
Nikakaa kama miezi mitatu nikajaribu kumcheki na kumwambia naenda kumsalimia akanimkasirikia sana sana fecebook alikua rafiki, lakini naona juzi kaniunfriend sijui hata nifanyenini? Hivyi huyu tunaweza kurudiana kweli au nikomae kivyangu.
Ingawa roho inauma na nampenda sana na kwanini kaniunfriend? Ndio najiuliza wakati marafiki zangu wote bado rafiki zake na akiongea nao wanaitana shemeji ingawa wakimwambia kuhusu mimi anawachenjia.
Nikakaa kama miezi mitatu nikajaribu kumcheki na kumwambia naenda kumsalimia akanimkasirikia sana sana fecebook alikua rafiki, lakini naona juzi kaniunfriend sijui hata nifanyenini? Hivyi huyu tunaweza kurudiana kweli au nikomae kivyangu.
Ingawa roho inauma na nampenda sana na kwanini kaniunfriend? Ndio najiuliza wakati marafiki zangu wote bado rafiki zake na akiongea nao wanaitana shemeji ingawa wakimwambia kuhusu mimi anawachenjia.