Ameamua kuni unfriend mpaka kwenye fecebook

Ameamua kuni unfriend mpaka kwenye fecebook

Umemuoa kwani?! Achana naye,Fanya mambo yako Kwa amani,utapatA chaguo lako.
 
We Luckyline ebu toq ushauri apo mama angu tufanyeje ishakua maji ya shingo ujue

nakuonea huruma kwa sababu nakujua. Achana nae bwana kama hakupendi tena quit. Kuna watu wanakulilia sana na akumbuke ni wanaume wanaojishusha wachache. Mkuu tena ulivo hensam watakufata sana. Chapa kazi kwa nguvu pata fweza. Hapo vip?
 
Haiwezekani mtu mzima na akili zake akaleta uzi kama huu, wewe ni mtoto ndio maana kakupa ushauri mzuri tu

hapana si mtoto namjua na si unajua mm napondaga vitoto? Yuko poa tu basi yamemkuta kachanganyikiwa. Embu nitafte nimpe ushauri zaidi
 
hapana si mtoto namjua na si unajua mm napondaga vitoto? Yuko poa tu basi yamemkuta kachanganyikiwa. Embu nitafte nimpe ushauri zaidi

Madam kama mtu hayajampata anaweza akakuona wewe huna akiri lakini daaah kiukweli najihisi kama siko sawa ila kabisaa nawashukuru wote kwa mchango wao wa kimawazo
 
Madam kama mtu hayajampata anaweza akakuona wewe huna akiri lakini daaah kiukweli najihisi kama siko sawa ila kabisaa nawashukuru wote kwa mchango wao wa kimawazo

achana nae bwana kwani anakojoa madini ya tanzanite?? Ntakuunganishia mtoto mkali ili tumkomeshe hupo mashauzi
 
Kua na Adabu basii wewe unadhani kila mtu ni mtoto mkuu hapa shauri kama huwezi pita tuu

usikasirikie watu humu..uzi wako ndio unaokufanya tukuone mwanafunzi..baba mzima huwezi uliza mambo kama hayo.
 
hebu nitajie jina analotumia fb, then nitarudi kukushauri
 
Huyo anakupenda mwache apoze hasira kwanza atajirudi tu
 
Mbona unalialia!
Kwani huwezi ishi mwenyewe bila yeye?
Ndorooobo yeye hebu mvungie na wewe jifanye na wewe umemzira. Usimuulizie wala nin wala cha sms wala cha kumpigia hadi marafiki zake wakaushie afu baada ya 2weeks njoo hapa toa jibu. Hapo unampa kibur mana anajua unapenda mzee ndo sababu.

Mamboz...
 
watu 8. kuna watu wanaomba ushauri humu but sometimes unaona comment ingine kabisa unajua huyu ni siv.5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom