Ameamua kuishi kama mkimbizi, anajificha amekataliwa. Urais una raha gani? Ajiuzulu asione aibu

Ameamua kuishi kama mkimbizi, anajificha amekataliwa. Urais una raha gani? Ajiuzulu asione aibu

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Ameamua kuishi kama mkimbizi anajificha ficha amekataliwa. Sasa urais una raha gani ? Asione aibu kujiuzulu, hizi spana anazopigwa ni balaa.

Anapigwa spana nje ndani na kila mtu mpaka anajificha, akipita hapa JamiiForums anachanganyikiwa.

Huwezi kuua watu vile halafu uwe sawa. Umejitakia mwenyewe.
 
Ameamua kuishi kama mkimbizi anajificha ficha umekataliwa sasa urais unaraha gani ? asione aibu kujihuzuru hizi spana anazopigwa ni balaa.

Anapigwa spana nje ndani na kila mtu mpaka anajificha akipita hapa jamiiforums anachanganyikiwa huwezi kuuwa watu vile alafu uwe sawa umejitakia mwenyewe.
Fazafaka ana roho ya paka yule. Angekuwa binadamu wa kawaida angekuwa ameshaachia ngazi ili ajinusuru!
 
Kwani wewe anakuhusu nini kwanza ? unampigania au unapigania buku saba hebu nyooka kwanza
We ndo nikuulize anakuhusu nn? Si mlisema kuwa hamuutambui uchaguzi?

Najitosheleza kwa kiasi chake vp wewe unalipwa tsh ngapi ili kutengeneza propaganda?
 
Mbona nikama nimemuona airport anapokelewa Dubai,why ajifiche
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom