Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,710
- 54,583
Mdada yeyote mwenye Hilo jina lazima ni kisu halafu kichwani ni kipanga......Honga baba😃😃😃Ungemfahamu huyu mrembo wala usingenikosoa.
Pili huoni ananipa ushirikiano?
Mdada yeyote mwenye Hilo jina lazima ni kisu halafu kichwani ni kipanga......Honga baba😃😃😃Ungemfahamu huyu mrembo wala usingenikosoa.
Pili huoni ananipa ushirikiano?
Bye G.Amina, naomba uzi huu uwe wa amani, yote tumeyasema kwa furaha, akiyekwazika atusamehe
Evelyn Salt sorry kipenzi
Bei Elekezi chukulia poa ukosoaji wetu mkuu ni amani
Joannah siku njema mama
Dah🤔🤔🤔🤔🤔Umepishana na lory la dola
Hiyo tayari ni brand yako uliyoijenga,tafadhali uitunze...tutakuenzi Kwa Hilo hata siku usipokuwepo......Le mikiazDah!
Hili la kupenda mikia na matukunyema litanitafuna hapa JF sijui mpaka lini.
Hata siku nikiRIP utasikia jamaa alikuwa anapenda mikia dah sasa kaiacha! 😁😁😁
Itabidi nianze kampeni ya kujisafisha na kuji-brand upya!
Hebu njoo kwanza mdogo wangu tuzungumze Kama familia Clepatina
Kuna wajinga wachache ndiyo wanajaribu kutuharibia CV wengineNafarijika kuona wanaume wenye akili bado wapo
Shimba ya Buyenze
Msukuma acha roho mbaya basi, khaaa😬Wewe ndiyo umelainishwa! Huyu maisha yake (hasa ya kimahusiano) hayajamwendea vyema. She is now above 30 and likely desperate....
Maana baada ya miaka 10 ya kukutreat kama mbwa...
Ghafla kaibuka from nowhere...akiwa na shida....
Nawe kwa uboya wako ukapeleka muamala mnono. Utu wako ni huo muamala ama? Bila huo muamala ungeweza kumpata au ungeendelea kutukanwa kama mbwa?
Kama umelala naye sababu ya huo muamala, itakuwa ni makosa kusema kuwa umeuziwa hiyo mbususu?
Na si ajabu umeuza mechi...huku, kama ulivyosema, una familia....
Ni nani aliyelainishwa hapo? Una tofauti gani na wanaonunua machangu barabarani?
A man without principles is like a ship without an anchor. Ni kusukwa sukwa tu na mawimbi huku na huko...na mwishowe hata kugoteshwa kwenye miamba au mangrove swamps.
Sad!
MmhUmeboneza vizuri mzee mwenzangu ngoja nikuite kwa post yangu
AiseeeeBei Elekezi
Nimegundua mambo machache kwako:
1. Vijana wengi approach yenu mbovu....tengeneza mazingira na huhitaji nguvu nyingi kutongoza ujue
2. Huwezi day one sio sahihi sana kutongoza
3. Kuna wanawake ukionyesha uchu mkubwa umemkosa
..............................
4. Inasikitisha wanaume wengi hatujui thamani yetu...ke akikutaka yeye unapatikana 24/7/12
Huu ni ujinga mzito.
5. Nilivyo na dharau ningempa hiyo pesa kama ninavyosaidia yatima lkn simgusi kwa kutaka kwake hadi nimtake mimi.
6. Umeliwa kimasihara bro🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shimba ya Buyenze
MmhhNisikilize wewe nyau na ndege wengine.
Mimi ni mapepe mdomoni na utani mwingi tu.
Lakini m..boo yangu kuiona hovyo usitegemee.
Na niko kama mwewe au tai.
Nina shabaha zangu...nikikuona kwa mbali utanifaa nina hesabu ndefu nikikushukia kama mwewe huchomoi.
Narudia huchomoi, sioendi kutumia nguvu ya pesa wala maneno mengi ni hesabu.
Ukichomoa sirudi....natafuta chuma kikali kukuzidi🤣🤣🤣
Joannah
Heshima yako kaka Glenn 😬Ningekua mimi day one akiomba pesa nampa.
Ametaka kuona tutaonana.
Baada ya hapo namfuta.
Akipiga namuuliza wewe nani?
Ajieleze weee
[emoji23]Umeamua umpelekee ukimwi mkeo
[emoji23][emoji23]Dah wadau mmesagia kunguni uzi mpaka mdau kaukimbia uzi wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Aiseee ☝️So uwe na viwango au usiwe navyo ili mradi naweza kukutia nitatafuta tuu nikutie, viwango tunaset kwa ajili ya wake tunaooa sio hizi piga tembea.
🤣🤣Kumbe msukuma ndo mambo yako, ndo nimekua Leo 🙌Dah!
Hili la kupenda mikia na matukunyema litanitafuna hapa JF sijui mpaka lini.
Hata siku nikiRIP utasikia jamaa alikuwa anapenda mikia dah sasa kaiacha! 😁😁😁
Itabidi nianze kampeni ya kujisafisha na kuji-brand upya!
Siyo kweli Mtumishi.🤣🤣Kumbe msukuma ndo mambo yako, ndo nimekua Leo 🙌
🤣🤣🤣🙌Uwiii msukuma ,acha basi ,ww Tena na portable,Sina uhakika ,ngoja Glenn aje athibitishe hiliSiyo kweli Mtumishi.
Zamani huko nilikuwa nashabikia hayo mambo kiutani tu lakini ndo hivyo tena. Yaani sina zuri jingine isipokuwa tu mikia.
Siku hizi napenda vipotabo vyenye umbo slimthick kama lako Mtumishi.
Usiniogope!