Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,305
Umepishana na lory la dolaMimi sio Tukunyema😂😂😂
Umepishana na lory la dolaMimi sio Tukunyema😂😂😂
Ilitokea tu kwa bahati mbaya maana siyo kawaida yangu kabisa. Nilijuta sana! 😁Nawe uligombanaje na mwanamke tena mrembo?
Nimeacha bangi siku ya pili leo 😂Hapa jf machizi yangu mnajulikana
Joanah
Joannah
Demi
Evelyn Salt
Nyie bangi hamkosi kula
......................
Malaika wangu
Dahan
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa vile umeongea najua maumivu yameisha Sasa.....tumeshapatanaWe acha tu ndugu yangu maana maumivu bado yapo kwa vidonge ulivyonipa siku ile. Sitakaa nisahau!
Huwa nakupenda hadi naumwa oohNimeacha bangi siku ya pili leo 😂
Asante sis 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa vile umeongea najua maumivu yameisha Sasa.....tumeshapatana
Nakupenda zaiiid mai wangu GlennHuwa nakupenda hadi naumwa ooh
Jamani Jojo 😳😳😳Nakupenda zaiiid mai wangu Glenn
❤️❤️❤️❤️Asante sis 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Tayari❤️❤️❤️❤️
Mmmmhhh kumbe una sehemu zako😆😆😆😆😆si ulikuwa unamcheka Bei elekezi wewe?Wewe hata nikikuhonga hakika sitajuta...umenimaliza tikitiki sweetheart😍😍
Na kwenu nyote wakuu.
Tayari Nini🙄🙄?Tayari
Ungemfahamu huyu mrembo wala usingenikosoa.Mmmmhhh kumbe una sehemu zako😆😆😆😆😆si ulikuwa unamchekea Bei elekezi wewe?
Siku yenye baraka kwako pia.Na kwenu nyote wakuu.
Tumecheka na kufurahi
Asubuhi moja safi sana
Hebu Mungu na Akatubariki sote leo na siku zijazo.
Love you guys 🙏🏿🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Amina, naomba uzi huu uwe wa amani, yote tumeyasema kwa furaha, akiyekwazika atusameheNa kwenu nyote wakuu.
Tumecheka na kufurahi
Asubuhi moja safi sana
Hebu Mungu na Akatubariki sote leo na siku zijazo.
Love you guys 🙏🏿🚶♂️🚶♂️🚶♂️