Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,622




mwenye uzi amekimbia



mwenye uzi amekimbia
Nini wewe binti mzuri😂Mmhh
Haya sawa
Huyo Clepatina nimetumwa na IamBrianLeeSnr anataka moyo wake umwelekee...ewe nyauWe ndio Joannah😆😆😆🤣🤣🤣?
Tuwakatae, sisi sio fisi wala mizogo yote mkuuKuna wajinga wachache ndiyo wanajaribu kutuharibia CV wengine
Hiki ni chombo kipya sio ile chombo yake ya miaka 10 nyuma😂Mmmmhhh kumbe una sehemu zako😆😆😆😆😆si ulikuwa unamcheka Bei elekezi wewe?
Fungua uzi ufute hii harufu mkuu, tangaza msimamo upya.Dah!
Hili la kupenda mikia na matukunyema litanitafuna hapa JF sijui mpaka lini.
Hata siku nikiRIP utasikia jamaa alikuwa anapenda mikia dah sasa kaiacha! 😁😁😁
Itabidi nianze kampeni ya kujisafisha na kuji-brand upya!
Kwa hiyo ukamnunua kwa gharama yoyite😂Isinge wezekana mkuu nilijua hatakuwa na ujasiri huo, ila nilikwepa kumtajia lodge kama option yakwanza, nilikwepa kutaja restaurant maana baada ya kutoka kwenye restaurant ingekuwa ngumu kumshawishi kwenda kutiana. Ni mambo ya cuba haya.
Nami ninakuita mrembo wa kwetu😂Nimefika dada yangu kipenzi🙏.
Nimeacha kila kuitikia wito wako
Abee.Nami ninakuita mrembo wa kwetu😂
Nina ujumbe wako
Nimeagizwa na mpendwa wako IamBrianLeeSnr , naona umefunga pm, kuna mzigo amenipa nikuleteeAbee.
Niko tayari kupokea ujumbe🙏🤣
Nipo nafuatilia kwa karibu wivu wa watu waliotoswa.mwenye uzi amekimbia
NiyeyeMaisha yashampiga huyo mkuu.
Kwa sasa anadanga na wewe kakuuzia kama anavyowauzia madanga wengine.
Tulia na mkeo huyo sio yule umjuaye tena mkuu
Kuna posa imeletwa mdogo wangu,mshenga Glenn ana jambo lako kutoka Kwa IamBrianLeeSnrNimefika dada yangu kipenzi🙏.
Nimeacha kila kuitikia wito wako
🤔🤔🤔Subiri kwanzaNimeagizwa na mpendwa wako IamBrianLeeSnr , naona umefunga pm, kuna mzigo amenipa nikuletee
Wewe ni jambazi sugu....weka code zako watu turushe karata zetu🥴🥴🥴🥴Fungua uzi ufute hii harufu mkuu, tangaza msimamo upya.
Mimi huwa nasema kigezo namba moja ke awe na akili njema...hii inaweza kuangukia popote...so nimeficho codes zingine huwezi nisoma kirahisi😂😂