Ama kweli ndoa ndoano

Pole yake,sio kwamba alikosea kuoa ila asilimia 95 ya wanawake ukishakwama kwenye uchumi au akikuzidi kipato cha moto utakiona,though wapo wengine wanaojielewa sana...
 
🤣 Hii mbinu ya kijasusi ni ya kikatili na nzuri kwa upande mwengine. Kumpooza makali akiachishwa kazi lazma watakaa meza ya maridhiano.
 
Hayo mawazo ni finyu sababu kuna mwanamke wa kila mtu mzee. Ukipenda madanga unapata, ukipenda independent women wapo, ukipenda corporate women wapo. Inategemea wewe unaji position vipi.

Uamuzi ni wako sasa. Kama mhanga aliamua kuoa danga yeye apambane.
Hawezi kukupenda bila sababu , na kila mtu anasababu zake kama ambavyo pesa ni sababu mojawapo , kikubwa tujue mbinu za kuishinao

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile
 
Tuhitimishe kwa kusema kupanga ni kuchagua

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
😄
🤣 Sasa jamaa anaendeleaje huko alipo sasa
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Week 1 kakuvumilia sana siku 3 tu lazma mabango yaanze 🤣
 
Upendo ni hisia ila kiini cha upendo ndio kita determine hisia hizo zitaisha lini. Kama kiini ni pesa basi tambua siku pesa zikiisha zitaondoka na ile hisia. Kama chanzo ni umaarufu basi tambua siku umaarufu wa mwanaume ukiisha ndio itakuwa mwisho wa hisia. Kama kiini cha upendo ni utu wa mtu basi jua hautakaa uishe unless utu wa mtu umebadilika.

Theres always a spark that ignites the affection between two souls. Grave mistake ndoa nyingi za sikuhizi upendo wake umeshikiliwa na ajira ya mume na pesa za michongo anazopiga ofisini. Ikitokea hela hizo zimekata basi penzi linakata na migogoro kuanza straight away.
 
Ndio ufunguo aliotumia kuingia kwenye moyo wa mkewe. Atafte hela hamna namna ingine.
 
Nadhani tuanze kuwaelimiaha watu kwamba ndoa ikikushinda sio lazima ung'ang'anie, unaweza kuiacha kwa amani.
Halafu labda ndoa za mkataba kwa dunia ya sasa ndo zinazofaa, tuachane na mambo ya kizamani.
Sawa Sawa Madam umesomeka , nahitaji muongozo kutoka kwako nitawezaje kumpata mtu mwenye kujielewa kama wewe ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hio ndio Tabia halisi ya mke wake, inatakiwa muelewe neno uchumba ni maisha feki ndoa ni Maisha halisi.
Oa yeyeto umpendae ukimpatia utamshukuru Mungu ukikosea utakuwa mshauri wa ndoa
 
Mwambie awe mpole meli itakaa sawa tu ikishatulia kwenye maji.
Utaacha wa ngapi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…