Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,298
😀Jitahidini msifilisike bwana we, mnatulaumu bure tu.
😀Jitahidini msifilisike bwana we, mnatulaumu bure tu.
Kenge maji wwhamna mtu anaomba kufilisika maisha kama bahari tu kuna mda inachafuka


Maisha hayana formula, unaolewa na CEO wa kampuni kubwa sherehe million 100 ghafla jamaa anafanya blunder anatimuliwa anarudi level 0. Hapo limke linageuka mwiba.Ni kweli bahari huwa inakupwa na kujaa .
Wao wanataka kila siku wale Kwa vitoweo (nyama na samaki ) na starehe ilihali wakati wakiishi kwa baba zao hali hali ya maisha ilikuwa duni kuliko walikoolewa.
Wanawake acheni maisha ya tamaa Na kujilinganisha maisha na watu wengine.
Kila mtu aishi maisha yake kwa kadiri anavyoliwa na kuyafurahia.
Acheni kuwafia jakamoyo wanaume zenu nao ni watoto wa watu.
Imagine Mwanaume anajitoa mhanga kwenda kutafuta kipato kwa jasho na hatari kwaajili ya mkewe kuliko hata mama yake mzazi wake alijinyima mwanae afike hapo alipo Fina?!![]()
Mimi ninajiheshimu sanaNaogopa utamtokea maana ni pisi lililo thibitishwa na TBS
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hili halifanyi kazi. NaliishiTatizo alikula kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mpe pesa,Akope hela ampe...
Amesahau kanuni 5 za kuishi na mwanamke?
Ndio uombe isichafuke sasa😂😂😂Kenge maji ww 😀 hamna mtu anaomba kufilisika maisha kama bahari tu kuna mda inachafuka
Sasa si niliolewa na CEO haya mambo ya kurudi 0 yanaanzia wapi tena ghafla hivyo😳Maisha hayana formula, unaolewa na CEO wa kampuni kubwa sherehe million 100 ghafla jamaa anafanya blunder anatimuliwa anarudi level 0. Hapo limke linageuka mwiba.
🤣 Mungu sio mzunguSasa si niliolewa na CEO haya mambo ya kurudi 0 yanaanzia wapi tena ghafla hivyo😳
Hahaa sawaNdio uombe isichafuke sasa😂😂😂
Hujakosea...hahahaMpe pesa,
Nasema mpe pesa,
We mpe pesa,
Mpe tena pesa,
Usiache kumpa pesa...
Nadhani ndio hizo ama nimekosea?
Kuna maana kubwa tu ingekuwa hamna basi ndoa zingekuwa hamnaKudumu kuna faida gani bila kuwa na Furaha na amani ya moyo?
Kuna kitu natamani jamii ingejifunza na kujua.
Umeandika Kwa hisia sana mkuuMwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Ndio maisha yalivyo kwenye ndoa inabidi muende kama bembea mwingine akiwa juu mmoja anashuka, and vice versa is true. Sehemu nyingi ndoa zinakufa sababu mmoja hajui ni muda gani ajishushe yeye anajuaga kuwa juu tu Yani mafuta ya taa 😅😅Kudumu watadumu ikiwa jamaa atakubali kuendelea kuwa dekio tu.
Ni haramu kuwatendea wema mbwa wa kikeRafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,
Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yanguhalafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.
Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu sio mzungu
Huu NI ushauri wa kiumeAnang'ang'aniaje pahala anapoona hapana muendelezo wa mbele? Aamue mapema kuliko kujifariji kwa kusubiri ilhali anajua fika kuwa ndoa yake haina uhai wa muda mrefu.
Ulivyo boya ukampokea!!!!!Mkuu baada ya hapo nikakomaa mahakama ya kazi!Miaka 8nikawa nauza maji ya bombani kwa wenyeji wa kitopeni,Mungu saidia nikashinda kesi na kulipwa!Alivyosikia!Kaja kama mwewe na mahaba kibao.Ila sisi wanaume sio wote,tusimcheke Samson wa kwenye bible.
🤣 Sasa utakuwa bwege kila wakati? Haiwezekani kabisaNdio maisha yalivyo kwenye ndoa inabidi muende kama bembea mwingine akiwa juu mmoja anashuka, and vice versa is true. Sehemu nyingi ndoa zinakufa sababu mmoja hajui ni muda gani ajishushe yeye anajuaga kuwa juu tu Yani mafuta ya taa 😅😅