nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Si wote ndugu yangu.Wanawake wana dharau sana kama mume ameyumba kiuchumi
Si wote ndugu yangu.Wanawake wana dharau sana kama mume ameyumba kiuchumi
Kabisa ni ushauri mzuri , nimependa zaidi uliposema asibague kazi wengi ndio wanafeli hapoMwambia jamaa yako asifeli kwa kufanya yafuatayo
1 . Aache kujiona dhaifu ndo anachochea moto(hapa kuna nguvu anaitoa bila kufahamu)
2 . Hata kama hana pesa kwa sasa ATAMBUE YEYE NI KICHWA CHA FAMILIA apambane mwanamke yupo chini tu.
3 . Hawa wanawake baadhi [wapumbavu] ukionesha udhaifu kdg tu lazima washike usukani asiruhusu hicho kitu(rejea 1)
4 . Aanze kujinenea mema iwe dozi asubuhi mapema na kabla ya kulala awapo na utulivu wa akili.
5 . Asibague kazi kwa sasa na azidishe ubunifu ili amudu majukumu ya familia ambayo kwa sasa yawezekana mke wake ndo anawajibika.
6 . Akae kibusara azungumze na mkewe ikibidi hawausishe wazazi wao kwani hakuna kitu kibaya na kinachovunja moyo kama mke wako,mwandani wako kukupinga. Dah! inavunja moyo mno pale unapotarajia tulizo hupati jamaa apambane.
kwa sasa akianza na haya itamrudisha njiani...
Umesomeka MkuuuSanduku la Ndoa
Watu wengi hufunga ndoa wakiwa na imani potofu kwamba ndoa ni sanduku zuri lililojaa vitu vyote walivyotamani: urafiki, mpenzi, ukaribu n.k. Ukweli ni kwamba ndoa mwanzoni ni sanduku tupu. Lazima uweke kitu ndani kabla ya kutoa chochote nje. Hakuna mapenzi kwenye ndoa. Upendo upo ndani ya watu. Na watu huweka upendo katika ndoa. Hakuna mapenzi katika ndoa. Unapaswa kuiingiza kwenye ndoa yako. Wanandoa lazima wajifunze sanaa na kuunda mazoea ya kutoa, kupenda, kutumikia, kusifu kujaza sanduku. Ikiwa utatoa zaidi ya uliyoweka, sanduku litakuwa tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nivizuri kutengeza mifumo imara ya kiuchumi kabla ya kujiingiza katika ndoaNikiwaambiaga "Tafuteni hela achaneni na ndoa"" utawasikia ""Ndoa muhimu, umezaliwa na singo Maza wewe"". Ngoja tu yawakute hawa ""raia wabishi sanaa""
#YNWA
Unajua kuna Machangu wapo kwa ajili hiyoShika, kamata na ujue, upendo ni hisia. Huyeyuka wakati wowote ule, sikwamwanaume wala mwanamke. Wanachokosea wenzetu ni kutokuwa na empathy au hekima mwenzao akienda kamba huku wakiwa wote wanavumiliana. Kilicho bora, kuishi kama tulivyoagizwa na mtume Paulo ni vyema sana, ngono ukikosa hufi na mke sio lango la uzima wa mafanikio.
Ndo tushaingia, kutoka inakuwa vigumuHuwa mnadumu kwenye mateso.
Poleni na hongereni.
#YNWA
Mambo ya ndoa ni magumu mnooMambo yao waachie wenyewe. Na watadumu maisha yao yote utashangaa ubaki mdomo wazi
Sana, ukiyaingilia unaishia kuumbukaMambo ya ndoa ni magumu mnoo
Sanduku la Ndoa
Watu wengi hufunga ndoa wakiwa na imani potofu kwamba ndoa ni sanduku zuri lililojaa vitu vyote walivyotamani: urafiki, mpenzi, ukaribu n.k. Ukweli ni kwamba ndoa mwanzoni ni sanduku tupu. Lazima uweke kitu ndani kabla ya kutoa chochote nje. Hakuna mapenzi kwenye ndoa. Upendo upo ndani ya watu. Na watu huweka upendo katika ndoa. Hakuna mapenzi katika ndoa. Unapaswa kuiingiza kwenye ndoa yako. Wanandoa lazima wajifunze sanaa na kuunda mazoea ya kutoa, kupenda, kutumikia, kusifu kujaza sanduku. Ikiwa utatoa zaidi ya uliyoweka, sanduku litakuwa tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba ya shemeji yako, ili nimkanyeRafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,
Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yanguhalafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.
Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Mbona mke hakua tayari kuvumilia jua na jamaa?Mpokee huyo ni mkeo tu ..iwe jua au mvua
Naogopa utamtokea maana ni pisi lililo thibitishwa na TBSNipe namba ya shemeji yako, ili nimkanye
Alimuona kama mzigo kwakuwa pesa yake ndio inatumika kuendesha nyumbaMbona mke hakua tayari kuvumilia jua na jamaa?
Ukioa pisi mpige pin tu , mzalishe kama pakaNoumaa Sana ila tusioe wanawake wenye mwonekano Sana aisee tuoe wake wa kawaidaa tu tutaishi kwa furahaa
Mambo yao waachie wenyewe. Na watadumu maisha yao yote utashangaa ubaki mdomo wazi
Absolutely mzee wa akilinjemaKudumu na jakamoyo?
Haya ndio makosa wengi hufanya.
They are not honesty of their souls.
They just want to please people.