Ama kweli ndoa ndoano

Ama kweli ndoa ndoano

Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Sio kwamba hakujua tabia za Mwanamke huyo toka mwanzo La hasha!

Ni ile vijana tukiwashauei wanasema wao. Wanajali Mtoto mzuri mwemye tako na sura tamu na kwamba Tabia watavumilianasasa wavumilie tu.
 
Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Kuna ndugu yangu alioa muhindi yule mmama R.I.P alikua very humble to the earth..
Yule mama alikua na elimu ya juu ya hotel management so alikua anasimamia hotel Moja kubwa katika jiji Moja mashuhuri..
Ndugu yetu alikua anamsumbua sana kula sana mtaji mavituko mengi kedekede lakini yule mmama alikua anaupendo wa dhati Kwa ndugu yetu.....
 
Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Nime
kunukuu,

""Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake""

Mwanamke utamlisha miaka 10 ila yeye akikulisha wiki Moja anakutangaza.....

NB,

Mkuu 😊 ushaur wa Bure Kwa wanaume wenzangu ukipata muda kula vizuri kabisa kunywa vinywaji unavyo penda jitoe outing mwenyewe.
Siku nilipo gundua najibana nasaidia sana watu alafu pesa yangu inaliwa Bata ☺️😊
 
Mwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Pole San mkuu HV ,sasaa mkuu Nini kilikupata Hadi kupelekwa gerezani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom