Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Ulifanya vyema sana...we waache tu na maisha yaoUsemalo ni kweli lakini kwa upande wangu sikutia neno nilibaki kuitika tu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ulifanya vyema sana...we waache tu na maisha yaoUsemalo ni kweli lakini kwa upande wangu sikutia neno nilibaki kuitika tu.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Na hili ndilo kosa kubwa huwa tunalifanya. Mwanaume unapaswa kuoa mwanamke anayekupenda na siyo unayempenda wewe......mara nyingi huwa tunaangukia Kwa demu unayemfukuzia na kumtosa anayekupenda , shughuli huanza ukiishiwa mtaji
Unafaa kuwa mke una ushauri mzuriUlifanya vyema sana...we waache tu na maisha yao
vp Jimbo lipo wazi nitoe posa kwa Maxence meloHujambo? Au na leo uko vibaya unataka kunionea uniwashie moto kama siku ile mi mnyonge wako? 🖐Ulifanya vyema sana...we waache tu na maisha yao
Sio kwamba hakujua tabia za Mwanamke huyo toka mwanzo La hasha!Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,
Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yanguhalafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.
Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Hahahaaa u made my daySio kwamba hakujua tabia za Mwanamke huyo toka mwanzo La hasha!
Ni ile vijana tukiwashauei wanasema wao. Wanajali Mtoto mzuri mwemye tako na sura tamu na kwamba Tabia watavumilianasasa wavumilie tu.
Me sijambo kiongozi,, lini hiyo nilikuwashia moto jamani😃😃🤔Hujambo? Au na leo uko vibaya unataka kunionea uniwashie moto kama siku ile mi mnyonge wako? 🖐
Kwanini iende kwa melo😃😃....Unafaa kuwa mke una ushauri mzurivp Jimbo lipo wazi nitoe posa kwa Maxence melo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Platform yake si ndo imetuunganisha kwahiyo atastahili kupata posho au veepeeKwanini iende kwa melo....
Kuna ndugu yangu alioa muhindi yule mmama R.I.P alikua very humble to the earth..Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,
Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yanguhalafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.
Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Wanasema muwape hela tuu...yani those 5 principles is just giving them money...yani sisi...Ni zipi hizo mwanasimba mwenzangu? Naona hizi zilinipita. Zitaje pulizi pengine nitajifunza kakitu.
NimeRafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,
Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yanguhalafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.
Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Kama hivyo sawaPlatform yake si ndo imetuunganisha kwahiyo atastahili kupata posho au veepee
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Pole San mkuu HV ,sasaa mkuu Nini kilikupata Hadi kupelekwa gerezaniMwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Ukimtandika bint angu makofi kwa sababu za ukosefu wa ajira kwako nitapambna na wew mnoNa kumtandika makofi anasubiri nini.
Kuna wanawake bila kuwazabua akili haiwakai sawa.
Ukimtandika bint angu makofi kwa sababu za ukosefu wa ajira kwako nitapambna na wew mno




mkwe wa motoAhhah ila wewe dad yani Ni kungiveKuna wimbo maarufu huko tiktok wa mnaijeria
Number one give her money....
Number 2 just give her money....
Number 3 find money and give her money...
Number 4 give her money....
Number five if u don have money borrow money and give her money....
tuTatizo PM yangu haitumikagi😃😃
Sio mimi ...hao wa hivyo ni wadada waliozaliwa 1995 kupanda juuAhhah ila wewe dad yani Ni kungivetu