Bwana Muki
Member
- Dec 13, 2018
- 13
- 9
Waswahili hawakukosea pale waliposema "Duniani wawili wawili", yaani binadamu tunafanana.
Lakini ulishawahi kujiuliza kama unaweza kufanana na viumbe hai wengine tofauti na binadamu?? Mtizame huyo samaki kisha nambie anafanana na nani.
Lakini ulishawahi kujiuliza kama unaweza kufanana na viumbe hai wengine tofauti na binadamu?? Mtizame huyo samaki kisha nambie anafanana na nani.