Am tired aisee!

Am tired aisee!

Princess21 na sisi vibabu ni ruksa, kwa sababu experience ya kudate tunayo na kutoa tunatoa siyo wabahili!!!
 
Last edited by a moderator:
Ila sikatai wapo tena sana tu... Jaribu kwenda sehemu classy classy wanakodhululia hasa mahotel makubwa na vaa vizuri yan ile utoke sexyyyy kiatu kirefu siunaelewa nenda especially weekend weekend hivi au mahali wanako party huko hata sijui wapi..me sina uzoefu...huo ni by Mange.

Mmmmmh kaz kwekweli
 
I think it's different when a man foot the bill for a woman bruh. Haijalishi ni wapi, ya kitu gani, ama ni kiasi gani.

Yaani huwa unanikoshaga kwenye hilo sanaaa, na i wish you the best of luck katika kuzisaka na zijae hadi zimwagike, hilo ndilo jibu la MWANAUME tena gentleman, ina tofauti mnoooo na inapofanywa na mwanaume hata kama ni kidogo.
 
wakati mwingine ni bora kuwasemea maana wao wapo kimya... wasisubiri vya kupewa watafute vyao...

Hivi unajua ina raha yake ikifanywa na mwanaume, hili ndilo nilionalo, yaaai hata kama yeye atakuwa nazo kiasi gani ila ikifanywa na mwanaume ina nguvu ya ajabu na ladha yake pia. Inatakiwa mtupatie na wala msikimbie jukumu hilo, ni lenu.
 
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.

Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu


tigo nayo utoe sio unataka kupandishwa ndege tu
 
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.

Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.

Msinichambe please nimesema ukweli wangu

Anzisha uhusiano na BOT
 
Nawaza tu
Wanawake ndiyo wengi Tanzania hivi kama wengi wanawaza kama huyu hii nchi itaendelea kweli? Nauliza tu! Maana huyu tayari anataka kuwa tegemezi sasa chukulia 70 %ya wanawake wanafikira za huyu aiseeh hatutoki hapa
 
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.

Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.

Msinichambe please nimesema ukweli wangu

Nilipata kusoma sehemu ikisema MUNGU wape baadhi ya wanawake akili, kwa maana unapowapa uzuri bila akili kinachoenda kuumia ni sehemu zake za siri, sasa naiamini hii pointi.
 
Umenipenda mwenyewe then unataka nitimize hata nisiyoyaweza???

Nahisi unanionea.....
 
Kumbe unataka ulipiwe na boyfriend wako sababu friends zako wanalipiwa ??? Mmgh unaonaje ukiwa na mawazo tofauti? Fanya hivi jichangechange alafu uende hata mara moja huko nje najua hutamkosa huko wa kukupeleka tena ila nna wasiwasi na upeo wako sababu unachokiwaza hakina faida zaidi ya sifa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom