imbegete
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,299
- 994
Princess21 na sisi vibabu ni ruksa, kwa sababu experience ya kudate tunayo na kutoa tunatoa siyo wabahili!!!
Last edited by a moderator:
Ila sikatai wapo tena sana tu... Jaribu kwenda sehemu classy classy wanakodhululia hasa mahotel makubwa na vaa vizuri yan ile utoke sexyyyy kiatu kirefu siunaelewa nenda especially weekend weekend hivi au mahali wanako party huko hata sijui wapi..me sina uzoefu...huo ni by Mange.
Princess21 na sisi vibabu ni ruksa, kwa sababu experience ya kudate tunayo na kutoa tunatoa siyo wabahili!!!
Mmmmnh naona umeamua kumfungukia muonee huruma jaman
uliona wapi kapu la uyoga likatiwa nyama!!!?
I think it's different when a man foot the bill for a woman bruh. Haijalishi ni wapi, ya kitu gani, ama ni kiasi gani.
wakati mwingine ni bora kuwasemea maana wao wapo kimya... wasisubiri vya kupewa watafute vyao...
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Shemeji ya kweli haya?
Hebu jipange uipandishe pipa mwenyewe, hata hao wakaka unaowataka walianzia mbali. Hawakunyeshewa mvua ya hela.
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.
Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.
Msinichambe please nimesema ukweli wangu
You don?t need money or power or any other advantage to get by in this world; love is
all you need.