Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
Unaambiwa mwanaume si sura nzuri, mwanaume anatakiwa kujua mchezo wa kitandani, ajue kukupigisha gwaride na kukuridhisha. Na akiwa na mkwanja hapo napo ni security nyingine.
Kweli?? si mnasemaga mwanaume pesa Ufundi VETA? au mmebadilika kwamba 'SASA KAZI TU'?
