Am tired aisee!

Am tired aisee!

dada usijali sifa za huyo mwanaume ni Yesu tu mtoto wa kwanza wa Yoseph yule fundi seremala pale nazareth...msubirie atakuja tu
 
Badala ya kutumia ubongo wako vizuri ujikwamue kutoka kwenye umaskini wako, wewe unategemea mwanaume ndo aje ku-finance lifestyle yako.

Wanaume wa ivo wapo ila wachache, maybe uwe na bahati kuja kuwapata, na mara nyingi wanaume hao huja na other serious and humiliating consequences kama HIV/AIDS, wazee etc..

Ukizidisha kupenda vya bure mwishowe watakufumua marinda.

Ni hayo tu Princess21
Sawa, ila hao hao mbona wanatutumia, wanatuacha amna maana yoyote, ata ukijitunza ukampenda vipi ndo kwanza watazila wengine
 
Acha usenge fala ww wazazi wapo humu
...teh teh teh teh...single mother **** chakavu..jobless...bado unakohoa na kutapika?...,tezi na kuharisha kumeisha?
...unavyoipenda JF huchoki kubadili avatar....ila 'Izraeli' anakupenda zaidi..,hufi na mtu humu!!
..R.I.P
 
...teh teh teh teh...single mother **** chakavu..jobless...bado unakohoa na kutapika?...,tezi na kuharisha kumeisha?
...unavyoipenda JF huchoki kubadili avatar....ila 'Izraeli' anakupenda zaidi..,hufi na mtu humu!!
..R.I.P
Sema wewe malaika wa shetani, unafanya nini huku mbwa weweee
 
...teh teh teh..ndo mlivyo!..sijui kwanini vinapendaga kukimbilia kichwani hadi mnakuwa na hasira na kila mtu!
...narudia,hufi na mtu!
...Rot In Pieces!
Sina haja kujibizana na ww Unanipenda alafu kibamia walaa hunipati
 
1464497281606.jpg
 
Ni pm kama unaweza kuihandle dyudyu ipasavyo, sio kutaka ili hali huwez kutoa.
 
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.

Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.

Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Mmmh, uchumi mgumu dear. Sio ubahili. Kuna kidem flani nilikipataga full kukipa makea, kwenda sijui wapi nakipandisha ndege, kikazingua nikakiacha kiende. Tangu kiwe na huyo bwana mpya, ndege anaishia kuziona tu zikikatiza Buguruni... Teh teh...
 
Utakuta demu mwenyewe sura kama mbuzi,flat screen kitAndan hewa kiuono kigumu unfkr utaptA wap mwanaume mjing wa kukupA vyt hvy
 
Jamani eee! Nimechoka ku date wanaume wazuri wa SURA, MFUKONI WABAILIIII! Yaani kila nikipata mpenzi ni mzuri, najikuta na fall kijinga, lakini WABAILIIII, MI SIWATAKI TENA.

Naomba MWANAUME MWENYE MOYO WA UTOAJI ANIONE NA MIMI NITOKE, ALAU NITOLEWE OUT ZA MAANA MWISHO WA DUNIA HUU JAMANI SJAPANDA NDEGE KWENDA NJE YA NCHI. Please anaejiweza aje Pm hatajuta na mimi ntampenda vile atahitaji.

Msinichambe please nimesema ukweli wangu
Unatafuta hela za wanaume kwa nini usitafute zako uone matokeo yake kama utazigawa kama njugu mtaani? Na wanaume wameshakugundua kuwa shida yako ni pesa tu na hawatakupa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom