Am I a loner,selfish?

1. Ni nani asiye na matatizo?

2. Huenda wenye matatizo ni hao wanaosema wenzao ndo wana matatizo.

3. Watu tumetofautiana kwa kila namna. Kama tofauti hizo ndo zinaitwa 'matatizo' basi kila mtu ana matatizo.

4. Wakati mwingine hao 'wataalamu' nao huwa hawajui chochote!!!
Ndo maana mimi huwa nakukubali sana...

Reasoning yako ni tamu
 
1. Ni nani asiye na matatizo?

2. Huenda wenye matatizo ni hao wanaosema wenzao ndo wana matatizo.

3. Watu tumetofautiana kwa kila namna. Kama tofauti hizo ndo zinaitwa 'matatizo' basi kila mtu ana matatizo.

4. Wakati mwingine hao 'wataalamu' nao huwa hawajui chochote!!!
Hakika.
 
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.

Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.

Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.

Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
Duuuh, yaani nimesoma hii nikastuka kidogo. Mi pia pasaka yote nilitaka kua alone, just myself. Na nilifanya hivo sikuboreka and I was happy. Mialiko yote niliikataa na pia sikutaka mtu aje kwangu.. Kumbe tupo wengi.. Sijui ni nini lakini. But I hope it's okay as long as we are okay with it.
 
RRONDO I've learnt that you're a single senior bachelor.

I was talking to a man in his late 20s the other day, I told him we should start a movement to ban masturbation because it turns some to chronic masturbators and makes some depreciate the opposite sex and eventually marry very late, some even stay single forever, and we just laughed to it.

No offense but Immediately I read your post it just clicked in my head "chronic masturbator" lol.

although I see no real problem with being introverted, for a man your age and your circumstances to ask something like this kinda bothers me. Sounds like what a heartbroken teenage kid asks. I get Lotta questions.

Is this the way you expected your life to turn out? Are you still suffering a heart break? Do you feel like you haven't met "the one"? Are you truly happy with that lifestyle? Do u have personality issues, too egoistic? No I don't need your answers just thinking out loud.

And one's introversion is definitely not an excuse for their partner to feel ignored, their partners are usually the ones who enjoy the social side of the introvert.
espy now utanielewa. Sijajua tu jinsia yake ku-confirm my theory.
 
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.

Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.

Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.

Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
Watu aina yenu hawakawii KUJIUA. Mnateswa na MSONGO WA MAWAZO
 
Haaa tunafanana

Kuzurura zurura huwa.siweeezi


Kwanza naweza panga safari halafu kama ni issue ya kutembea tu naicancel....
Habari za Pasaka. Jana ilikuwa sikukuu hivyo nilipata mialiko. Ajabu nilikataa mialiko yote nikaamua kukaa nyumbani peke yangu siku nzima na sikuboreka hata kidogo kwasababu nishazoea na nilipanga nisitoke.

Mwaliko wa kwanza Bi Mkubwa kanipigia asubuhi,anajua nakaa mwenyewe, kaniomba niende nyumbani nikajumuike nao. Bila kujiuliza nikamjibu leo sitaweza kuja nimetoka nje ya mji wakati nimepanga kushinda nyumbani.

Baadae kanipigia binamu wangu,me, kaniomba aje nae nikamwambia leo sitakuwepo nyumbani. Wa mwisho rafiki yangu mkubwa kanipigia jioni kaniuliza kama nipo tu nyumbani anipitie tukasafishe macho maeneo fulani, huyu nilimjibu tu kuwa nipo ila leo sitoki.

Nimekaa nikajifikiria naweza kuwa mbinafsi au loner fulani bila kujijua? Maanake napenda sana kukaa mwenyewe nyumbani au naweza kwenda sehemu ya starehe peke yangu. Na kuna marafiki wananishangaa nawezaje kukaa mwenyewe siku nzima!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom