Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,498
Ndo maana mimi huwa nakukubali sana...1. Ni nani asiye na matatizo?
2. Huenda wenye matatizo ni hao wanaosema wenzao ndo wana matatizo.
3. Watu tumetofautiana kwa kila namna. Kama tofauti hizo ndo zinaitwa 'matatizo' basi kila mtu ana matatizo.
4. Wakati mwingine hao 'wataalamu' nao huwa hawajui chochote!!!
Reasoning yako ni tamu