Am I a loner,selfish?

Am I a loner,selfish?

Utatumia metric gani kuji qualify kama u half-loner, quarter-loner, n.k.?

A step back.

Loners wenyewe katika lile zoezi la mbegu za kiume kwenda kwenye mayai ya kike walichelewa au hawakuanza safari kabisa, na hawakuzaliwa kabisa.

Hawa wengine wote metric yoyote utakayotumia itakuwa arbitrary na hivyo meaningless kwangu.
 
me nina tabia kama yako ila nahisi mimi kuna jambo lilinitokea ndugu wakawa against mimi na wakati mimi ndiyo muathirika na kumtetea muhalifu ile hali ilinifanya kutomuamini mtu yeyote kabisa na kupenda kukaa peke yangu tokea nikiwa form 2 na nina uwezo wa kuwa nyumbani nikaa ndani peke yangu na watu wapo .. nikiongea ni kujibu nililouliza na siulizi kama hakuna umuhimu sana .. na hii tabia ipo na inaumiza wengine hasa walio karibu yangu upande wa mwenzangu hawanielewi kabisa no story, no party mpaka nitake mimi ..nipo kwenye kujifunza kuamini watu polepole najua nitapona
Trust nothing,suspect everything....

Katika maisha ya leo neno UAMINIFU ni expensive kuliko unavyofikiria na kama una tatizo na unahitaji kuwaamini watu bhasi inahitaji tafakari kubwa sana na si ukurupuke tu kwa kuwa uaminifu ukivunjika,possibility ya kuwa worse ni kubwa

kitu kikubwa kama tiba ni kujifunza kuyakumbatia madhaifu ya watu ili uweze kuwa karibu yao... if you judge people then you have no time to love them
 
True loner na qualified loner. Sijui tofauti ni nini?
Qualified loners ndio hawa wanakuja ku post hapa JF "mimi loner".

U loner wake unahitaji maelezo zaidi, kwa sababu kuja kupost JF ni kutafuta attention ya watu.

Loner hatafuti attention ya watu.

True loners wenyewe hata mbegu za kiume za baba zao hazikujishughulisha kukimbilia kustawisha mayai ya kike.

Au kama by happenstance walizaliwa, washajiondoa dunia hii.

Ukiwa unaishi hapa duniani u loner wako inabidi uwe qualified.

True loner hata akijiua haachi suicide note.Kuacha suicide note tu ushatafuta mawasiliano na watu baada ya kifo.

True loner hatafuti mawasiliano na wengine.
 
Kimsingi hapo unayemzungumzia hayupo kabisa!

Sasa asiyekuwepo atakuwaje loner?
Alikuwepo nusu akaangalia mchezo akakataa kujiunga, ndiyo maana kawa loner.

Wengine wote waliozaliwa wamejiunga na mchezo halafu baadaye wengine wamepata masahibu ya dunia wanajiita loners katika style ya staki nataka kwa kuja ku post threads JF. Ndiyo maana u loner wao inabidi uwe qualified kwa maana ya u loner wa "staki nataka".

Anayejiita loner akishapost thread JF tayari kashataka attention na hivyo u loner wake inabidi uwe qualified.

Inawezekana si loner amepatwa na masahibu tu ya dunia anahitaji validation ya kukutana na watu waliokama yeye ambao labda ni vigumu kukutana nao.
 
Mkuu Al-Watan naomba niulize. Mtu asiye loner anaweza kujifunza kuwa loner! (Kuna sehemu tulikuwa tunafundishwa hiki kitu na procedure zake ndiyo maana nimeuliza). Kama inawezekana huyo mtu atakuwa katika kundi gani kati ya hayo uliyoyataja hapo.
 
Mkuu Al-Watan naomba niulize. Mtu asiye loner anaweza kujifunza kuwa loner! (Kuna sehemu tulikuwa tunafundishwa hiki kitu na procedure zake ndiyo maana nimeuliza). Kama inawezekana huyo mtu atakuwa katika kundi gani kati ya hayo uliyoyataja hapo.
Lazima u define neno "loner" kwanza.

Kwangu mimi ukiwa unaishi tu si loner wa kweli.

Loner wa kweli hawakuzaliwa kabisa, au kama unataka kuwa include waliozaliwa, wameshayakataa maisha.

Kwahiyo, kwa definition hiyo, ukiuliza je mtu anaweza kujifunza kuchukia maisha mpaka ajiue awe true loner, the answer is yes.

Kwa sababu kuna watu wengi tu wamejiua hivyo.

Tena bila kuacha suicide note.

By the way, ukiacha suicide note tu wewe si true loner, kwa sababu umetaka mawasiliano hata baada ya kifo.
 
Lazima u define neno "loner" kwanza.

Kwangu mimi ukiwa unaishi tu si loner wa kweli.

Loner wa kweli hawakuzaliwa kabisa, au kama unataka kuwa include waliozaliwa, wameshayakataa maisha.

Kwahiyo, kwa definition hiyo, ukiuliza je mtu anaweza kujifunza kuchukia maisha mpaka ajiue awe true loner, the answer is yes.

Kwa sababu kuna watu wengi tu wamejiua hivyo.

Tena bila kuacha suicide note.

By the way, ukiacha suicide note tu wewe si true loner, kwa sababu umetaka mawasiliano hata baada ya kifo.
Poa poa..
 
Alikuwepo nusu akaangalia mchezo akakataa kujiunga, ndiyo maana kawa loner.

Wengine wote waliozaliwa wamejiunga na mchezo halafu baadaye wengine wamepata masahibu ya dunia wanajiita loners katika style ya staki nataka kwa kuja ku post threads JF. Ndiyo maana u loner wao inabidi uwe qualified kwa maana ya u loner wa "staki nataka".

Anayejiita loner akishapost thread JF tayari kashataka attention na hivyo u loner wake inabidi uwe qualified.

Inawezekana si loner amepatwa na masahibu tu ya dunia anahitaji validation ya kukutana na watu waliokama yeye ambao labda ni vigumu kukutana nao.

Mazee hapa naona unataka kuleta ligi tu.

Mtu/ binadamu kuwa loner maana yake ni kwamba mara nyingi anapendelea kuwa mwenyewe mwenyewe tu na si kujichanganya na watu. Yaani anapendelea kuwa 'alone' as opposed to being with or interacting with other people often.

Ni jambo lisilo changamani kama ambavyo unalifanya liwe.

Hayo mambo ya sijui quarter, half, etc. sioni tija yake kabisa.
 
Mazee hapa naona unataka kuleta ligi tu.

Mtu/ binadamu kuwa loner maana yake ni kwamba mara nyingi anapendelea kuwa mwenyewe mwenyewe tu na si kujichanganya na watu. Yaani anapendelea kuwa 'alone' as opposed to being with or interacting with other people often.

Ni jambo lisilo changamani kama ambavyo unalifanya liwe.

Hayo mambo ya sijui quarter, half, etc. sioni tija yake kabisa.

Hakuna werevu bila uchambuzi, na hakuna uchambuzi bila definition. Nikitaka tuwe na definition za kueleweka, unasema nataka ligi.

Statement yako ya ku define loner iko vague.

Anayependelea kuwa na familia yake tu, hapendi wengine, ni loner au si loner?

Vipi anayependelea kuwa na watu online tu, lakini hapendi kukutana nao in person. Ni loner au si loner?

Vipi anayependa kuwa peke yake wakati ana uwezo wa kukidhi haja zake lakini akihitaji msaada wa wengine hana tabu kujiunga na wengine kusaidiwa? Huyo loner au ni selfish tu?

Yule mchizi aliyejificha porini miaka 30 halafu akawa anaibia watu kwenye log cabins zao ni loner au si loner? Kama si loner kwa nini alipenda vya watu?
 
Hakuna werevu bila uchambuzi, na hakuna uchambuzi bila definition. Nikitaka tuwe na definition za kueleweka, unasema nataka ligi.

Definition za kueleweka? Kueleweka na nani? Hata wewe unaweza kuweka definition zako. Au unasubiri wenzio watoe zao halafu wewe kazi yako iwe kutoa dosari tu?

Statement yako ya ku define loner iko vague.

Toa yako basi ambayo haiko vague.

Anayependelea kuwa na familia yake tu, hapendi wengine, ni loner au si loner?

Huyo atakuwaje loner wakati anapenda kujumuika na watu na watu hao inatokea wanakuwa walio na undugu naye?

Si nimesema hapo juu kuwa loner ni mtu anayependelea kuwa mwenyewe mwenyewe tu mara nyingi. Yaani hapendi pendi kuwa na watu wengine. Anapenda kuwa mwenyewe mwenyewe tu.

Vipi anayependelea kuwa na watu online tu, lakini hapendi kukutana nao in person. Ni loner au si loner?

Bado ni loner tu. Hapa si tunazungumzia watu na uhalisia wao na si kupitia mitambo au?

Kujichanganya na watu online si sawa kabisa na kujichanganya na watu in their flesh.

Online, kama hapa, mara nyingi hata huwajui unaojichanganya nao.

Na kwa mintarafu ya mleta mada, yeye kazungumzia kujichanganya na watu kiuhalisia. Yaani makutano ya watu na watu na si watu kupitia mitambo ya kikompyuta.

Vipi anayependa kuwa peke yake wakati ana uwezo wa kukidhi haja zake lakini akihitaji msaada wa wengine hana tabu kujiunga na wengine kusaidiwa? Huyo loner au ni selfish tu?

Hakuna binadamu anayejitosheleza mwenyewe na sidhani mleta mada hicho ndicho alichomaanisha.

Hivyo, kuhitaji msaada wa jambo au kitu hakumfanyi huyo mtu asiwe loner.

Kinachomfanya mtu awe loner ni kule kupenda kwake kuwa peke yake peke yake muda mwingi.

Haina maana kama akiumwa na akaenda spitali kutibiwa basi si loner.

Yule mchizi aliyejificha porini miaka 30 halafu akawa anaibia watu kwenye log cabins zao ni loner au si loner? Kama si loner kwa nini alipenda vya watu?

Ni loner!

Zaidi ya kuwaibia hao watu alikuwa anajichanganya na watu wengine?

Yeye kuwaibia hao watu kwenye hizo log cabins zao ndo kunamfanya asiwe loner au kunamfanya awe ni loner mwizi?

Sifa na tabia zingine za kibinadamu hazimfanyi mtu asiwe loner.

Hivyo, loner kuwa mwizi wala si ajabu. Loner kuugua na kwenda kutafuta tiba spitali si ajabu. Loner kushikwa njaa na kwenda marikiti kununua chakula si ajabu. Loner kuwa hivi au vile hakumfanyi yeye asiwe loner.
 
Definition za kueleweka? Kueleweka na nani? Hata wewe unaweza kuweka definition zako. Au unasubiri wenzio watoe zao halafu wewe kazi yako iwe kutoa dosari tu?



Toa yako basi ambayo haiko vague.



Huyo atakuwaje loner wakati anapenda kujumuika na watu na watu hao inatokea wanakuwa walio na undugu naye?

Si nimesema hapo juu kuwa loner ni mtu anayependelea kuwa mwenyewe mwenyewe tu mara nyingi. Yaani hapendi pendi kuwa na watu wengine. Anapenda kuwa mwenyewe mwenyewe tu.



Bado ni loner tu. Hapa si tunazungumzia watu na uhalisia wao na si kupitia mitambo au?

Kujichanganya na watu online si sawa kabisa na kujichanganya na watu in their flesh.

Online, kama hapa, mara nyingi hata huwajui unaojichanganya nao.

Na kwa mintarafu ya mleta mada, yeye kazungumzia kujichanganya na watu kiuhalisia. Yaani makutano ya watu na watu na si watu kupitia mitambo ya kikompyuta.



Hakuna binadamu anayejitosheleza mwenyewe na sidhani mleta mada hicho ndicho alichomaanisha.

Hivyo, kuhitaji msaada wa jambo au kitu hakumfanyi huyo mtu asiwe loner.

Kinachomfanya mtu awe loner ni kule kupenda kwake kuwa peke yake peke yake muda mwingi.

Haina maana kama akiumwa na akaenda spitali kutibiwa basi si loner.



Ni loner!

Zaidi ya kuwaibia hao watu alikuwa anajichanganya na watu wengine?

Yeye kuwaibia hao watu kwenye hizo log cabins zao ndo kunamfanya asiwe loner au kunamfanya awe ni loner mwizi?

Sifa na tabia zingine za kibinadamu hazimfanyi mtu asiwe loner.

Hivyo, loner kuwa mwizi wala si ajabu. Loner kuugua na kwenda kutafuta tiba spitali si ajabu. Loner kushikwa njaa na kwenda marikiti kununua chakula si ajabu. Loner kuwa hivi au vile hakumfanyi yeye asiwe loner.
Ukishakubali kwamba definition vague ni sawa, basi definition inakosa maana.

Definition ikikosa maana, habari nzima inakosa maana.
 
Ukiwa hivyo mafala hawakuambii kuwa unaringa?

Maana ndio zetu wabongo
Mi kitaa ninapokaa walishasema mpaka wakachoka na midomo yao ikaenda upande But I care nothing about a damn shits from them all I care is what I want and makes me happy that's all
 
Back
Top Bottom